Recent content by Whackiest

  1. Whackiest

    JamiiForums Tanzania Kwa ujinga huu wa CRDB kutoa taarifa za wateja bila idhini halali ya Mahakama, naiona bank ikikosa trust na kuporomoka kimapato soon!

    MKuuu sio mpka tuwe na mud ya kuamsha juna member humu wananguvu tuanzishe huku linapotoka huku liende na nguvu
  2. Whackiest

    JamiiForums Tanzania Mtu unamheshimu unakuta ameweka status ya "1980s challenge"

    Hahahahaa ujue kuna ushamba flan kila mtu anao
  3. Whackiest

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Mtaji wakula pampuch kwa wahuni kubali aibu ila uishi huru.
  4. Whackiest

    JamiiForums Tanzania HOJA Usaili wa ajira za Tanzania: Je, Waombaji wanapewa nafasi ya kweli kushindana au ni geresha?

    Nashindwa kujenga hoja ila nitajaribu
  5. Whackiest

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu Single Mothers

    Kauli ya single mother kiufupi sio nzuri kabs ,na ieleweke hakuna kitu kinaitwa single mother kwa sababu hii , 1.ukikaa ukamuulz ww ni single mother? ataseme ndio 2.Ukiuliza tenha unalea mtoto mwenyewe bila msaada wowote? Jibu atasema ndio kwa baba wa huyo mtoto sina kitu napokea ........Noo...
  6. Whackiest

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Kabisa
  7. Whackiest

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Barua ya Nchimbi ilifichwa

    Ikimwagwa jamvini humu wakuu tutatafutwa vibaya mno nawambien na jf itazimwa milele
  8. Whackiest

    JamiiForums Tanzania EWURA yatangaza bei mpya za mafuta. Bei ya petroli imeshuka kwa Sh 102 kwa lita, dizeli ikishuka kwa Sh 101 kwa lita

    Kelele zetu katu hazitokuja kubadili jambo tubaki nalo .
  9. Whackiest

    JamiiForums Tanzania KERO Mbeya Mjini, wanafunzi wa Sekondari wanasoma Saa 12 Asubuhi hadi 4 Usiku, wanasoma nini muda wote huo?

    Katika kushuhudia hayo umesikia wakitamka kuwa leteni fedha ??
  10. Whackiest

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Barua ya Nchimbi ilifichwa

    Britanic ajee maan anazijua code nyingi
  11. Whackiest

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Zambia: Ashuhudia Hichilema Akiapishwa

    Back to back
  12. Whackiest

    JamiiForums Tanzania KERO Tusaidieni kupaza sauti yetu dhidi ya vitendo vya rushwa ya ngono na unyanyasaji Vyuoni

    Kuna muda tunashindwa kwan mko mstari wambele kuomba ila tunapoingia kutetea mnakuwa wakwanza kuondoka na kutuacha nyuma bila msaada katika yale tuliyoaanza hivyo ,basi inafaa jambo liwekubwa na liwafikiee wengi maumivu yenu yatawainua kutoka huko walikojificha wakingoja msaada kutoka nje
Back
Top Bottom