Kauli ya single mother kiufupi sio nzuri kabs ,na ieleweke hakuna kitu kinaitwa single mother kwa sababu hii ,
1.ukikaa ukamuulz ww ni single mother? ataseme ndio
2.Ukiuliza tenha unalea mtoto mwenyewe bila msaada wowote?
Jibu atasema ndio kwa baba wa huyo mtoto sina kitu napokea
........Noo...
Kuna muda tunashindwa kwan mko mstari wambele kuomba ila tunapoingia kutetea mnakuwa wakwanza kuondoka na kutuacha nyuma bila msaada katika yale tuliyoaanza hivyo ,basi inafaa jambo liwekubwa na liwafikiee wengi maumivu yenu yatawainua kutoka huko walikojificha wakingoja msaada kutoka nje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.