MaminyooMi leo naangalia tu kiuno cha Shakira. Shakira akinipa haki ya nani sigusi tena mdada mwingine mpaka kifo.
SanaParedes fala sana
Wangekuwa kama Fernando Torres au David Villa au mtu kama Raul ingekuwa sawa.Nafasi wanapata ila sasa changamoto
Happy birthday..🎁Najua Sina changu,,Wacha niendelee kula cake yangu ya b day
Malatino hao!!!Waargentina hawa jamaa wanashida gani mbona wagomvi wagomvi
Hii mechi itaenda extra timeWangekuwa kama Fernando Torres au David Villa au mtu kama Raul ingekuwa sawa.
Ila kwa namna wanavyopiga mipira yao kupata goli ni ishu.
Argentina utawapita kote ila wakiwa golini kwao hawana masihara. Wanakaba mbaya.
Wanazingua sana aisee.Hawa Argentina kuuchezea mpira golini kwao itawacost sasa hivi.