Naona Tumkey umetoa maneno makali na yenye hisia kali sana. Kwani ni lazima uungane nao Zenji? unashida na ardhi haikutoshi? Unafikiria hata kuchoma maduka yao na kuwafukuza wakikataa kuendelea kuungana na wewe hayo ni maneno hatarishi kwa amani yetu adhimu na adimu epukana nayo.
Hii vita ni N korea, Urusi na China vs S Korea, na Marekani elewa hivyo.
Sishangai America kushindwa kwani Ana uzoefu huo tena na vi inchi vidogo kama Vietnum.
Acheni ushamba watu maarufu huanzisha na kufanya vitu kama hivyo vya kijamii kupitia foundation zao. Hata akiwa tu hata na 20 percent ya gharama zote. Jambo litakwisha tu. Matajiri wapo wanasubiri ukianzisha tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.