Graduate wa darasa sio Graduate wa Maisha...
Hata huko pia Mambo ni yake Yale siku hizi hakuna pakukimbilia Cha msing kwenye kutoboa lazma ujitoe ufahamu kwanza
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Hakuna Cha kulaumu hapo ndo uwezo wetu ulipoishia kwa uwekezaji kbongo kbongo usitegemee kuona quality players, mpira wa Zama hizi umebadilika jarbu kuangalia hata training session za hao unaowasifia ndo utajua kwann wapo hvyo.. budget ya timu ya mwaka mzma wenzenu wanatumia kusajili mchezaji...
Mtu anaandika story anaweka Alama za koma funga na fungua semi paragraph.. hakuna story hyo Ni copy & paste
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nilifanya kazi ya saidia fundi tukawa tunachimba pemben ya ukuta(ulikuwa mfupi ila mfupi kwa juu kulikua na waya kama wa senyenge umesapoti inchi6 tofali) tulikua tunachimmba mtaro wakupitisha bomba.. ilikua kipind cha masika kwahyo mkichimba leo usku mvua ikinyesha kaz kama inaanza tena kesho...
Hivi system betting kwenye playmaster ina maaana tofauti na mimi ninavyodhani au.. kwamba unaweza ukachagua mechi tano lakin kwenye combination ukaweka 4 of 5 au hata 3 outof 5 ikiwa na maana kwamba katika game tano hata game moja ikilost mkeka unakua umetik auu .. ??
Ila ni lazma uchague odd...
Kukuru kakara za chelsea kula umeme macty kutanguliwa chuma mbili arseno kuongozwa Daaah..
Niishie kusema ku****ye zenu Bayern na kipa wa borussia
Mk***u wake saves 19
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.