kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,280
- 4,579
- Thread starter
- #61
92KV ile Kambi sio jkt mzeeNgerengere
Morogoro
Ipo kamandi ya HQ ( head quarter)
Ni makomando TU ndo wanapatikana hapo
92KV ile Kambi sio jkt mzeeNgerengere
Morogoro
Ni mtata zaidi ya Kobra akiona Yuko hatariniChatu si naskia ni mpole sana?tofauti na wakina cobra?na hata kukimbia haliwezi zito sana
KambiniKAmbn hyo mzee? Au uraiani?
Point Yako nini mkuu?Mmemuua na Hilo panga ambalo hata mpini halina?
Mkuu limekufa au liko hai?.
YapMkuu limekufa au liko hai?.
Duuh,huyu anaweza hata mtoto kabisa.
Umeliua wewekuua waue wengne picha muuoshe sura nyie
Mbona kichwani mdomoni ana damu?Hatujamuua
Kuna namna tumemfanya akapoa
Lilikua limemeza nini
Mbona kashiba sana