Recent content by Wells

  1. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Broo nina wasiwasi wewe bado ni shabiki wa Arsenal kichinichini.. Ni kama vile unamkataa demu usoni ila moyoni unaumia.
  2. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sio tu Arsenal hata Liverpool nao shida ipo. Hizi timu ukiziangalia kwa jicho ambalo sio la kiushabiki utaona zina tatizo mbele kwenye nafasi za ushambuliaji. Ekitike kucheza 9 hapana aisee. Shukrani wamempata Isak.. Florian Wirtz bei yake pamoja na anachokitoa ni contrary. Ni kama pace na...
  3. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ingawaje bado ni mapema sana kutoa hukumu na tuna wachezaji wapya ambao bado wanahitaji muda.. Ila Arsenal kwenye upande wa attacking tumerudi nyuma sana. Hata timu ikienda mbele unaona kabisa hakuna cha maana ni kama kila mchezaji ana uchezaji wake.. Uchoyo wa kuachia mipira mapema kwa watu...
  4. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Imagine Scoboslai amerelax kabisa kama beki kumkaba martinelli mpaka anafanya attacking. Scobo amekuwa na game nzuri sana kwa ajili ya wachezaji liability kama Martinelli. Arsenal bado hatujaacha tabia za kuwalea deadwood. Tunaangalia history zaidi kuliko kitu anachokitoa mchezaji kwasasa...
  5. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii game Arteta alitegemea bahati zaidi kuliko uhalisia.. Mapungufu ya Martinelli alikuwa ameshaanza kuyaona tangia muda ndio maana hata mechi ya Leeds hakumuanzisha.. Unakuja kumuanzisha mechi ya Liverpool eti kwasababu ana bahati na Liverpool.. Bado mapema sana lakini Martinelli sio tena mtu...
  6. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Liverpool inabidi wavunje kibubu kumleta Isak. Nao kwa sasa pale mbele ni shida tu
  7. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa pale mbele ndio mtu pekee akishika mpira anaonekana ana madhara.. Yupo direct sana.
  8. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna mipira Raya anacheza nyuma sio salama kwa timu kama Liverpool... Hawa jamaa hawaitaji chance nyingi kukuhukumu. Waheshimiwe
  9. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huyu dogo ni msenge sana.. Hakana skills za kutosha ila kanalazimisha 1vs1..
  10. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kila nikimuangalia Amorin naona Arsenal kuna haja ya kumuheshimu sana Arteta.
  11. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Exactly, Martinelli kucheza katikati itamuondolea lawama sana kuliko pembeni.. Martinelli ana pace lakini hana skills 1vs1 kucheza kama winger. Wazee wakikaba njia hamna lolote.. Bora acheze kati kwasababu uwezo wa kushoot anao
  12. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Odergard anakaa sana na mpira.. Kuna muda unaona kabisa kuna free space ya kutoa pasi kuharakisha mashambulizi lakini anafanya turning zisizokuwa na maana... Kiukweli hayupo directly na anachelewesha mashambulizi
  13. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ushangiliaji wa Gyokeres goli la kwanza na Ushangiliaji wa goli la pili alipofunga kwa penalty akaenda kutengeneza nywele kwenye Camera😀 ni kama dharau zenu alikuwa anazisikia. Anyway, jamaa ni vile hapati nafasi za wazi nyingi na bado pale Arsenal mbele hawajamuelewa vizuri kumtengenezea.. Ila...
  14. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Lakini mkuu tukiacha ushabiki pembeni, Mbeumo na Cunha ni proven EPL player. Na leo wametuonyesha na kututhibitishia hilo.. Kama mtu utakuwa una wasiwasi na mbeumo au Cunha basi unahitaji kuwa na wasiwasi zaidi kwa Victor Gyokeres.
  15. Wells

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    It's remained to be seen mkuu
Back
Top Bottom