Alihitajika sana msimuu huu, msimu ujao ndio aonyeshwe milango,hapa anaanza upya tena. Kama alivyoanza upya kwa kumuuza Xhaka. kiwigi hawezi kubeba chochote ujuaji mwingi.Kuna namna ukiiangalia mid yetu na kama unaona nafasi ya partey.hata tungemshikilia msimu huu ila ilikuwa ni suala la muda tu kuachana nae.
Umri na mahitaji ya timu kuna muda tu ilipaswa tuachane nae,
Na mpk ashtuke Orde na Martinel na hata huyo Saka, sio wachezaji wa kukupa ubingwa muda unakua umeshatembea akina Rice wanataka kuondoka kutafuta makombe Madrid.