mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Arsenal kama tupo nyumbani hiviMlioko kwenye runinga tunapeleka au tunapelekewa moto?
Arsenal kama tupo nyumbani hiviMlioko kwenye runinga tunapeleka au tunapelekewa moto?
Subiria ushindi mkuu.. Msimu huu hatupotezi gameMlioko kwenye runinga tunapeleka au tunapelekewa moto?
Mzee punguza hisia. Huyo ni binadamu km wewe, naye anakosea.Kila mara nawaambia Raya ni fala sana
Huyu dogo ni msenge sana.. Hakana skills za kutosha ila kanalazimisha 1vs1..Mi bado nalia na huyu martineli …huyu jamaa sjui kwann hauzwi mchezaji wa kawaida sana
Ni kweli, Merino aki break line hawi aggressive. Atleast Odegaard anafanya drive in na kuleta madhara.Hapa nazan kwa merino angekuepo ata ode tungekua tunacheza kwao
Huyu kila siku anacheza vibayaLeo Martnell Kacheza Vibaya Sana Inabidi Atokeee
Madueke mtu jamani kwa replacement ya saka ..yuko vizuriGet Madueke more balls.
Get Martinelli out, bring Eze in.
Get Merino out, bring Øde in.
Then we're good to go!
Ode ni majeruhi mkuuGet Madueke more balls.
Get Martinelli out, bring Eze in.
Get Merino out, bring Øde in.
Then we're good to go!
Ila Liverpool msimu huu sioni wakiwa na hatari sana kwenye mashambulizi km ilivo last seasons.Kuna mipira Raya anacheza nyuma sio salama kwa timu kama Liverpool... Hawa jamaa hawaitaji chance nyingi kukuhukumu. Waheshimiwe
Blind passes zake zinanipa pressureMzee punguza hisia. Huyo ni binadamu km wewe, naye anakosea.