Umenikumbusha kipindi domo zege.nikiambiwa huyu dema malaya natia mguu .chaajabu sikuwahi pata ata mmoja zaidi ya vibuti ila washikaji wakienda wanakula mambo.
Karma kuna kitu siwezi kukibishia ni tekinologia.maana africa tupo nyuma sana.huwa napenda kuangalia chanel ya national geo kipindi future world mengi anayoelezea ontarios unaweza yaona.kwa kusimuliwa utaona ni ndoto tu.ila natumaini muda utatupa majibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.