Recent content by Wazabanga

  1. W

    Wale wapenzi wa kuchokonoa masikio kwa kutumia pamba stick na vijiti yaliyonikuta mimi iwe funzo kwenu

    Tunakushukuru sana kwa taarifa na funzo kubwa ulilotupatia. Nakuomba sana nielekeze ilipo hiyo hospitali ulipopata matibabu na ikiwezekana namba ya simu ya huyo daktari aliyekusaidia. Nami pia nina tatizo hilo muda mrefu.
  2. W

    BAKWATA Yakataa Serikali 3

    Asante sana
  3. W

    Mwesigwa-katibu mkuu tff

    Karibu kwenye boti la TFF jihadhari usianze kulitoboa likiwa kwenye mawimbi makali
  4. W

    Mishahara yaota mbawa

    Mwisho wa mwezi ni tarehe ngapi?
  5. W

    HUNITAKI TENA????hata kama kwa nini UNIVUE NGUO???

    Kama amekuvua nguo na hayo matusi ya nguoni si hayapo tena? Tafuta nguo zingine uvae uendelee na shughuli zako!
  6. W

    Kwanini simpati mwanaume wa maisha yangu!

    Inawezekana humtegemei Mwenyezi Mungu katika utafutaji wako wa mwanaume wa maisha yako
  7. W

    Mwanaume: Ukizini utakufa ghafla.....Sijasema mimi Mtambuzi bali ni Utafiti....!

    Haya kazi hiyo kwa watafiti wetu wa bongo watupatie ukweli
  8. W

    Sina hamu ya mapenzi na uume wangu hausimami asubuhi

    Labda jaribu na kwa babu wa Loliondo upate kikombe
  9. W

    10 HEAlTH BENEFITS OF SEX

    All type/kind of sex?
  10. W

    Napingana na serikali kwa kufuta vibali vya wageni wanaoishi Kagera, Geita na Kigoma

    Hakuna tatizo la kuomba vibali upya,wanaostahili kwa mujibu wa sheria watapewa.
  11. W

    Hellow

    Assalaam Allaykum all members
Back
Top Bottom