Mwesigwa-katibu mkuu tff

unaweza kua bosi sehem,mfano tuseme mjaluo,ukawateua watu wote wa chini yako kwa vigezo vyao vya elim kwa mfano,mwisho wa siku mko mia ofcn wote wajaluo ila mna sifa za hyo kaz,kikanuni mko sawa ila lazma watu watahoji iweje muwe wote wajaluo.


Kwa hiyo kama sifa wanazo wasipewe kwa sababu ya kabila zao??

Ina maana kazi ya kuteua watendaji imefanywa na Malinzi peke yake??

Huu mtazamo nahisi ni wa hatari sana...
 
Sifa kwanza kabila baadae. Hii nchi haina sheria inayozuia mtu kushika nafas endapo wa kabila lake ndo yuko juu. Kwahiyo mnataka kusema wahaya, wachaga na wanyakyusa wasiajiliwe tena kwa vile wana watu wengi serikalini na makampuni binafsi!! Mnaoingiza ukabila mnafikiria kwa kutumia makalio sio bure. Tuambieni huyu mtu hana sifa zinazotakiwa 1. 2. 3...., ishu ya kabila lake wala dini sio ya kuuliza huko ni kumnyanyasa mtu.
 
kumbe kuna watu humu uwezo wenu wa kufikiri ni mdogo sana sasa ungeomba wewe hiyo nafasi basi kama unaona kuna upendeleo katika uteuzi huo
 
Kwanza jamaa amesoma anaelimu nzuri tu aliyoipata pale udsm.
Kabla alikuwa katibu wa yanga pia alishafanya kazi na plan international pale makao makuu baada ya kurudi kutoka masomoni uiengereza
Tatizo nahisi jamaa atakuwa amebebwa sababu yeye na malinzi wote ni wahaya
U

Malinzi ni mhaya Mwesiga ni mnyambo. Sijui kama jana kubebana. CV ya Mwesiga inakidhi matakwa ya position aliyopewa. Hata angekuwa mhaya lakini ana vigezo sidhani kama kuna tatizo.
 
Tuna watu wengi wenye uwezo wa kuongoza mpira nchi hii. Nafasi kama ya katibu mkuu wa TFF ilipaswa itangazwe na watu wafanyiwe interview na makampuni competent kama KPMG, PwC and the like. Hii ingeondoa mawazo yote ya ukabila na Uyanga na Usimba.
 
Kwanza jamaa amesoma anaelimu nzuri tu aliyoipata pale udsm.
Kabla alikuwa katibu wa yanga pia alishafanya kazi na plan international pale makao makuu baada ya kurudi kutoka masomoni uiengereza
Tatizo nahisi jamaa atakuwa amebebwa sababu yeye na malinzi wote ni wahaya
U
kama ana vigezo stahiki, ndio akose kwa sababu tu ni Mhaya? Kwani alihamia kwenye kabila hilo kama angalau awajibishwe kwa maamuzi yake? Kosa lake nini?
 
kama ana vigezo stahiki, ndio akose kwa sababu tu ni Mhaya? Kwani alihamia kwenye kabila hilo kama angalau awajibishwe kwa maamuzi yake? Kosa lake nini?

Mkuu believe in me mwesiga siyo best candidate, kuna wagombea wengine wenye elimu kubwa na experience kuliko mwesigwa lakini wameachwa. Jamaa ana degree moja wakati kuna watu wameachwa wana masters na experience kibao
 
Mkuu believe in me mwesiga siyo best candidate, kuna wagombea wengine wenye elimu kubwa na experience kuliko mwesigwa lakini wameachwa. Jamaa ana degree moja wakati kuna watu wameachwa wana masters na experience kibao
Kama nilivyoeleza kwenye hoja yangu. ' kama ana vigezo vyote'......... Imetokana na mchango wa aka2030 kwamba ana elimu nzuri. Tafsiri ya hilo ni kwamba anawazidi webgine. Sasa kama hanayo, au kama wanaomzidi elimu na uzoefu, hilo ni swala jengine kabisa. Lakini kunahitajika uyakini wa kauli hiyo kabla ya kutoa kauli yoyote.
 
Kama nilivyoeleza kwenye hoja yangu. ' kama ana vigezo vyote'......... Imetokana na mchango wa aka2030 kwamba ana elimu nzuri. Tafsiri ya hilo ni kwamba anawazidi webgine. Sasa kama hanayo, au kama wanaomzidi elimu na uzoefu, hilo ni swala jengine kabisa. Lakini kunahitajika uyakini wa kauli hiyo kabla ya kutoa kauli yoyote.

Mkuu am sure of what am talking about. mwesiga ana bachelor ya international relation wakati wapinzani wake mfano Henry tandau yeye ana masters ya michezo na bonge la experience katika michezo. Can you convice me how mwesiga is the best candidate in that job?
 
Mkuu am sure of what am talking about. mwesiga ana bachelor ya international relation wakati wapinzani wake mfano Henry tandau yeye ana masters ya michezo na bonge la experience katika michezo. Can you convice me how mwesiga is the best candidate in that job?
Kama ulifuatilia michango yangu kuhusu Malinzi, mimi ni mmojawapo wa wasiomkubali. Nilipata kuandika kwenye uzi wake mmoja kwamba mimi simshabikii na nikamwomba anishawishi nimwamini kupitia utendaji wake. Ila kwa hili sina hakika kama binafsi anastahiki lawama. Tusibiri tuone.
 
Kwa hiyo kama sifa wanazo wasipewe kwa sababu ya kabila zao??

Ina maana kazi ya kuteua watendaji imefanywa na Malinzi peke yake??

Huu mtazamo nahisi ni wa hatari sana...
yule anaehoji ukabila ndio mwiba kwenye babu dc
 
Sifa kwanza kabila baadae. Hii nchi haina sheria inayozuia mtu kushika nafas endapo wa kabila lake ndo yuko juu. Kwahiyo mnataka kusema wahaya, wachaga na wanyakyusa wasiajiliwe tena kwa vile wana watu wengi serikalini na makampuni binafsi!! Mnaoingiza ukabila mnafikiria kwa kutumia makalio sio bure. Tuambieni huyu mtu hana sifa zinazotakiwa 1. 2. 3...., ishu ya kabila lake wala dini sio ya kuuliza huko ni kumnyanyasa mtu.

Mkuu huna haja ya kutukana wenzio ili kuhalalisha hoja yako. Kinachozungumzwa hapa hii ni nchi ya watu wengi, makabila mengi, lkn mwelekeo wa TFF ya Malinzi ni kujaza watu wenye asili ya mkoa wa Kagera hata kama wana sifa lakini lazima tukubaliane kuwa si wao pekee wenye sifa hizo.

Na tatizo kubwa linaweza kuwa njia aliyotumia kuwapa kazi haikuwa 'transparent enough' kama ile iliyotumiwa na mtangulizi wake Tenga ambaye alikuwa anatumia neutral recruitment agencies na ndio maana hukuwahi kusikia watu wakizungumzia ukabila pale TFF. Hiki kubali kataa, Malinzi anajitengenezea mazingira magumu yeye mwenyewe ya kutawala maana watu hawatazungumzia sera na sheria pale watakakwazwa na maamuzi mbalimbali ya TFF bali ukabila.
Wakosoaji wake nao hawatakaa mbali na hili,ndio itakuwa weak point yake kubwa - time will tell.

Tayari Malinzi ameshaonesha kwa siku chache jinsi anavyobomoa mfumo taasisi uliojengwa na Tenga na badala yake ameingiza washikaji zake wengi ikiwemo marafiki, watu wneye asili ya anakotoka, n.k kitu ambacho kinatia ukakasi dhana nzima ya utawala bora.
 
Back
Top Bottom