BAKWATA Yakataa Serikali 3

BAKWATA Yakataa Serikali 3

Bakwata nikikud cha wanyonya wa rasilimali za waislamu kinocho faziliwa na ccm na kulindwa na nguvu za dolla
 
Infact malalamiko ya wa Zanzibari kuhusu muungano yana make sense kuliko ya Wabara. Wao wana sababu za kiuchumi. Sisi tuna lalamika eti wao wana bendera sijui katiba yao imekuaje, and all nosense. Ili kutoimeza zanzibar na kuifanya kama mkoa kuna umuhimu wa wao kuwa na serikali yao.

Nijuzeni wandugu. Zbr Govt inagharamiwa na nani? Tz? Zbr?
 
Na Bakwata mjue ikiondoka ccm mwisho wenu umefika wezetu wakatoliki wananunua maeneo wanajenga mashole nyinye viongozi wa bakwata kazi yenu kuza maeneo ya waislamu na kutetea ujinga unafanywa na viongozi mafisadi ikosiku atajuta na haipo mbali wa Tanzania wa leo wanahitaji mbadiliko mivyovyote tumechoka kuburuzwa na mafisad
 
Sasa naanza kuamini kwa nini tasisi nyingine za kiislamu zinaipinga Bakwata,sasa nimeanza kuelewa ila naogopa kutoa maoni yng isije ikanishukia dhahama,ccm bwana matawi hadi kwenye imani?

ni kweli mkuu
 
Hivi Tanganyika yetu itarudi kweli?
source:Magaazetini _RFA.

hivi mnadhani walipewa rushwa wale 201 tu? wengi wamepewa ili watoe matamko tata,na mengi mtayasikia,CHEZEA PESA WEWE, wale 201 kwa kuwa walikuwa wametapakaa nchi nzima walisubiriwa wajikusanye kwanza dodoma,_USHAURI- .NI KURUDI KWA WANANCHI
 
Hoja zenu za kutaka Tanganyika ni dhaifu na zimetawaliwa na chuki na ulevi.
Ni zao la chuki aliyo ipandikiza mtikila. Hakuna manufaa ya kiuchumi wala ya kijamii yatakayo patikana kwa kurudisha serikali tatu. Achaneni na siasa za chuki na jazba

Kwa hiyo unakubaliana nami kwamba kumbe Tanganyika kujifanya ndio Tanzania inafaidika kiuchumi na kijamii na itakapokuja kama Tanganyika haitawezekana sio? Hili ndio litavunja muungano si unaona namna ile miradi ya maendeleo barabara , elimu, viwanda, afya n.k zilivyoinafaisha bara licha ya kuwa sio mambo ya muungano. Linatumika jina TANZANIA KUINUFAISHA TANGANYIKA. Watu wakilalamika mnawatisha na kulia na kutoa machozi ya mamba. Mmekuwa waoga kutokana na dhulma zenu na hamuamini kwamba chini ya Tanganyika huru maendeleo yatakuja ya kiuchumi na kijamii. Mnataka kuendeleza kujifanya KUPE kwa kuinyonya Zanzibar kwa miaka tena 50 ijayo? HAPANA Inatosha Huu unaoitwa UDUGU WA DAMU kama chambo cha kulazimisha muungano huu KUPE si haki Kama kweli sisi ni ndugu tumefika wakati Tunanyonyana damu kiasi hiki cha miaka 50 na bado tunataka tuendelee. Muungano gani huu usiozingatia usawa na makubaliano. TUKUMBUKE MUUNGANO UMEKUJA KWA MAKUBALIANO na Utadumishwa kwa MAKUBALIANO
 
Fikirini kwa kina nani kawaeleza kuna serikali tatu zinakuja? Tutarajie serikali ya: 1. Tanganyika, 2. Pemba, 3. Unguja, 4. Mafia, 5. Ukerewe, 6. Chunguu
 
Lazima waunge mkono maoni ya ccm, kwani BAKWATA si ni tawi la ccm hilo linajulikana. Kazi yao kubwa kwa waislam ni kuwatangazia muandamo wa mwezi tu basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom