TWALIBU MAKOSA
Member
- Aug 11, 2013
- 88
- 7
ikate uipunguze
Pole sana kijana ila nenda hosptal watakusaidia.
ikate uipunguze
Utalipia tangazo hili la biashara kwa hisani ya Madame B na Heaven on Earth
Mie bwana hii mijitu inayojisifiaga kuwa na mi nanilii mikubwa huwaga naishangaa. Wenye pipe zao za maana wamekaa wametulia.
Haka kajitu ka 21 years kisa kametembea na tubinti tutano tu kanajidai nako kamo.
Pipe Si saizi dogo. Ni utumiaji.
Jamaa anataka atumie fulsa
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Soma, futa, delete kabisa.mimi ni kijana wa miaka 21, tatizo langu uume wangu ni mkubwa kiasi kwamba kila nikikutana na demu wangu anashindwa kufurahia tendo hilo, huyu ni demu wa 5, ambao wanne tumeachana nao kutokana na mashine yangu kuwaumiza, huwa najaribu kusex nao polepole ila wanalalamika sana, mwanzoni nilifikiri nimejaliwa kumbe sasa ni majanga,hasa sijui nifanyeje wakuu maana hata huyu manzi niliyekuwa nae anataka kuniacha, naombeni msaada wenu..
PROMO at work
Mashine kubwa ni relative term. umelinganisha na papuchi ipi kwani, yaani watano tu unaconclude..!mimi ni kijana wa miaka 21, tatizo langu uume wangu ni mkubwa kiasi kwamba kila nikikutana na demu wangu anashindwa kufurahia tendo hilo, huyu ni demu wa 5, ambao wanne tumeachana nao kutokana na mashine yangu kuwaumiza, huwa najaribu kusex nao polepole ila wanalalamika sana, mwanzoni nilifikiri nimejaliwa kumbe sasa ni majanga,hasa sijui nifanyeje wakuu maana hata huyu manzi niliyekuwa nae anataka kuniacha, naombeni msaada wenu..
Inazidi ukubwa wa kichwa cha mtoto mchanga?