Recent content by War ForThe Freedom

  1. W

    Degree ya sasa imechuja kulinganisha na miaka ya nyuma

    we kama ulichelewa kwenda shule ni shida zako mwenyew ila umri rasmi uliopitishwa tangu kipindi cha azimio la arusha ni miaka 7 mtoto anaanze darasa la kwanza.
  2. W

    Dodoma mitaa ipi ya kujidai?

    for babies check out CDA
  3. W

    Khaah!! Haya majaribu jamani

    sio hivyo kaka,, hapo nimetumia lugha ya maandishi isiyo rasmi (informal language) ,, lakini hiyo haimaanishi kwamba sijui lugha hii tamu ya kiswahili.
  4. W

    Khaah!! Haya majaribu jamani

    kuandika ivyo sio kwamba sijui lugha, ni vema utambue lugha ya uandishi inatumika vipi katika muktadha mbalimbali.
  5. W

    Khaah!! Haya majaribu jamani

    sired ndio nini kiongozi au ulimaanisha thread
  6. W

    Khaah!! Haya majaribu jamani

    Salaaam, Mimi ni mwanafunzi katika chuo kikuu komoja wapo nchini,Ndo nimeingia mwaka wa tatu msimu huu Sasa juzi tumeripoti chuoni tayari kwa muendelezo wa masomo 2017/18, Kwa kiasi fulani nimefurahi tena kurudi chuoni maana nimepata kuonana na marafiki wengi tulioachana baada ya likizo ndefu...
  7. W

    Nipo njiapanda: Kanieleza kuwa moyo wake umekuwa mzito kuwa nami so anaomba tuachane

    Mpige chini askuumuze kichwa there is life with/without her
  8. W

    Haki ya nani sijawai kutana na mdada kama huyu!

    ila uwez jua pengine papuchi ilikua katika hali mbaya labda ya uchafu au ana damu ya hedhi ndo maan akakaza kuchojoa
  9. W

    Tunaoishi kwa mashemeji zetu (MUME WA DADA) Tukutane hapa

    hahah Shem wako akutumagi condom za kumkunjulia sistako
  10. W

    Nipe mbinu nimpate huyu manzi

    aki we mpee shopping kali kila ukipata boom uyo manzi utampata joh,, bila kukosea we utakua wack wa DUcE au Muce
Back
Top Bottom