Degree ya sasa imechuja kulinganisha na miaka ya nyuma

Degree ya sasa imechuja kulinganisha na miaka ya nyuma

Ni kweli hizi hadithi wanazozileta wanakua wengiwao hawajaweza kupata degree, na wanakua na kiburi kuleta mada kama hizi maana unakuta kiuchumi wako vizuri zaidi ya wenye degree na kuendelea.
Inawezekana upo sahihi kwa fikra zako,lakini acha nikujuze tu, elimu haina mbadala wake!

Baada ya kuona hii mada yako nimejua tatizo lako lipo wapi mkuu!

Mimi huwa napenda kukaa na kijana wangu na kumwambia, ELIMU ni ELIMU na PESA ni PESA!

Je unajua Eric Shigongo pamoja na mafanikio yake amerudi chuoni kuitafuta shahada?
 
Inawezekana upo sahihi kwa fikra zako,lakini acha nikujuze tu, elimu haina mbadala wake!

Baada ya kuona hii mada yako nimejua tatizo lako lipo wapi mkuu!

Mimi huwa napenda kukaa na kijana wangu na kumwambia, ELIMU ni ELIMU na PESA ni PESA!

Je unajua Eric Shigongo pamoja na mafanikio yake amerudi chuoni kuitafuta shahada?
Tatizo langu lipo wapi? Umenirudishia tena swali mimi
 
Inawezekana upo sahihi kwa fikra zako,lakini acha nikujuze tu, elimu haina mbadala wake!

Baada ya kuona hii mada yako nimejua tatizo lako lipo wapi mkuu!

Mimi huwa napenda kukaa na kijana wangu na kumwambia, ELIMU ni ELIMU na PESA ni PESA!

Je unajua Eric Shigongo pamoja na mafanikio yake amerudi chuoni kuitafuta shahada?
Mkuu amerudi shuleni ili imsaidie nini?
 
Na baba na mama bado wana m'treat kama mtoto. Ataweza changamoto gani huyu ?
Ndio maana serikali imewaterekeza vijana wetu na Ndio yenyewe imeleta utaratibu huo. Makampuni binafsi yanasema uzoefu mpaka miaka 5. Naona tunawawahisha watoto shule bure tu.... maana wakimaliza degree bado wanakuja kulelewa tena home. Bora tuwalee miaka 8 ndio waanze la saba
 
Maturity is the main problem ! Zamani darasa la kwanza mpaka uwe na miaka 9 au 10. Sasa hivi miaka 5 !
Wewe kama ni kiongozi mahali fulani waambie wakupatie demotion ukalime karafuu huko kwenu namtumbo.


Kwangu mimi umri wa miaka mitano mpaka sita ndio umri sahihi kabisa wa mtoto kujifunza na ku-master vitu kwa wepesi kabisa, kuanzia lugha, hisabati, nk.

Hii nadharia ya kupeleka majitu yaliyobalehe shuleni sijui huwa mnaitoa wapi?? na mnaitetea???

Akili zenu zinafaa kuvua funza chooni tu.
 
Inawezekana upo sahihi kwa fikra zako,lakini acha nikujuze tu, elimu haina mbadala wake!

Baada ya kuona hii mada yako nimejua tatizo lako lipo wapi mkuu!

Mimi huwa napenda kukaa na kijana wangu na kumwambia, ELIMU ni ELIMU na PESA ni PESA!

Je unajua Eric Shigongo pamoja na mafanikio yake amerudi chuoni kuitafuta shahada?
I agree with you.
Bill gates mwenyewe alirudi Harvard kuchukua degree yake ya law.
Why?
Degree haichuji.Labda mtu achuje,ashindwe kuitumia.
Unaweza ukawa unaongea sana.Unashusha points.Huna weakness.Halafu watu wakatafuta udhaifu wako,wakaanza kukubeza kisa Elimu.Inauma sana kwamba Elimu ina control over someone's life in some way hata kama unapesa na akili za maisha.

Leo mtu anapesa na anapenda company ya watu wenye pesa na waliosoma,ila wasomi Kama kawaida yao especially wakijua huna shule watapiga story za kishule,watakubagua bagua in some ways na utaumia sana.

Degree inasaidia kufumba watu midomo.Ikupatie kazi au isikupatie,at least unayo.

Tena labda iwe imechuja huku town tena kwa waliosoma.Ila Kama hujasoma huwezi ukasema eti degree imechuja.
Mtu upo first year,Second year,ila mtaani wanakuita engineer au doctor.Hata ukitoka na class mbaya.Nani atajua.labda udisco.
Degree inampa mtu respect.
Maana hata wasomi wenyewe wanabaguana depending na degree zao.

Kwa ufupi minaona kadri siku zinavyoenda inabidi watu wenye Elimu ya juu wazidi kuongezeka,hata Kama Hamna kazi.
Kuna tofauti kubwa ya nchi yenye watu wengi wasomi ila hawana ajira na nchi yenye watu wengi ambao hawajasoma na hawana ajira.
 
Jamani hivi mnaionaje degeree ya miaka hii??

Mimi naona kama imechuja sana haina makali kama miaka ya nyuma, uzito wa degree ya sasa inavyochukuliwa mtaani ni sawa na uzito wa anaehitimu form six miaka ya nyuma

Nyie mnaonaje wadau??
Miaka ya nyuma vyuo vikuu vilikuwa vichache sana. Hivyo wenye degree walikuwa wachache pia.
 
Najaribu kufikiria nini hasa lengo la mtoa maada.
  1. Je unaposema imechuja unamaanisha haina thamani au wasioelimika wanashindwa kutambua thamani yake?
  2. Je unapimaje uthamani wa degree?
  3. Je ratio ya mafanikio ya wenye degree na wasio na degree ikoje ukiangalia kwa idadi yao?
  4. Nini kifanyike ili huko kuchuja kuondoke au kupungue?
 
Mtoto mdogo unajua nini wewe ! Mimi nimesoma na watu wameoa darasa la kwanza. Mtu yuko 25 yrs. Na nimemaliza darasa la saba na watu wapo 30's !
we kama ulichelewa kwenda shule ni shida zako mwenyew ila umri rasmi uliopitishwa tangu kipindi cha azimio la arusha ni miaka 7 mtoto anaanze darasa la kwanza.
 
mi nimesoma mzumbe bba plm.
mbona degree nyepesi sana...

mi nikajua coet na muhimbili ndio kuna degree ngumu.. wewe wasema mzumbe huku watu tunalewa kila siku kwa baunsa na muso na bado tukapiga upper second...

hakuna chuo rahisi kama mzumbe.. degree hadi unamaliza unapiga u.e za masomo 25 tu.. kuna semester ya bure ya kuandika ripoti


Kam unatak degree ngumu nenda mzumbe
 
Back
Top Bottom