Dodoma mitaa ipi ya kujidai?

Dodoma mitaa ipi ya kujidai?

Nenda keko mkuu,au uhindini ,chako chako ukajilie watoto wakiarabu na kihindi...

NOTE:Leo UDOM ni welcome first year na inafanyikia Maisha Club
 
Habari za jioni wana jukwaa nimefikaa dodoma jioni hii kwaio nilikua na uliza Kwa wale wenyeji kuwa niingie mitaa ipi ili nami nifurahie kama mwanaume halisi
swali lango moja kwa mleta mada;
je umeisha tayarisha mambo yako ya mirathi?
maana usije mtesa mkeo na vitoto vyako 2
 
Area C - ROSE GARDEN kuna mizigo ya kufamtu,(mis bantu wakumwaga,mis ulaya usisema,Haswa kuna number moja black ndefu ya kichaga ina virasta bubu weeeee acha kaka Hebu tia miguu ujionee
 
Area C - ROSE GARDEN kuna mizigo ya kufamtu,(mis bantu wakumwaga,mis ulaya usisema,Haswa kuna number moja black ndefu ya kichaga ina virasta bubu weeeee acha kaka Hebu tia miguu ujionee
Ebu ngoja nimalizie beer yangu hapa Platinum, alafu nivuke barabara nikajionee neema za Allah hapo kwa mama mzungu....
 
wewe nomaaaa,kumbe upojirani umetisha kakaaaa

Nipo ndani ya Rose Garden hapa namtafuta huyo bibi ya chuga, kisha nichomoke kuelekea Club Lazizz kwa live band ya SAKI STARS pale nikamkute Kachoka na Yamodo wanikoshe mtima kwa nyimbo za wahenga.....
 

Nipo ndani ya Rose Garden hapa namtafuta huyo bibi ya chuga, kisha nichomoke kuelekea Club Lazizz kwa live band ya SAKI STARS pale nikamkute Kuchoka na Yamodo wanikoshe mtima kwa nyimbo za wahenga.....
Nooomaaa,poa ukimkosa angukia kwa huyo cheupe nae anavutia hususa ukiwa na kaponbe ka kali - maisha mafupi mkuu TOLEKAAAA
 
kama unataka kututamvua ukidume nenda MASONENYI MAJENGO PATAKUFAA
 
Back
Top Bottom