Kungelikua na uwezekano wa kuuliza elim ya kila kiongozi kwnye mabaraza ya usuluhish! Bac mlundikano was kesi mahakaman usingekuepo! Jibu ni wanaogopa kuwahoji walioko juu cz weng wako pale kwa sbb ya uzoef, jina kitaan na ushawish wa kiitikad lkn wana poor reasoning capacity, kwa ww mwnye...
Mkuu, logic ya mwl ni sahh anajarb kuonesha chanzo cha kutawaliwa na dictator ni uoga! Ukijarb kuangalia maamz ya hyo DC's, RC's na wateule wengine ni uoga na unafic, dhana hii inapandizka udictator, ko kadri unavokuwa muoga unaruhusu dictatorship! Uoga wetu umemfanya aonekane dictator!
Ni mfumo wa kimaskn unaomrudisha nyuma hta yule anetaka kupga hatua! Mfumo usotaka any sort of difference, na ili uendelee lazma kna watu wapge hatua ili wakupe hamasa! Ukiacha history na vtabu vngne mfumo huo unachanganya bit utakta ujamaa ushapta ila unakutana na ubepar mfumo ni aggressive na...
We are poor bz of poor! Hayupo mchaw wa maendeleo yetu ila ss wenyewe tnaojiita tna mapenz mema na nchi yetu! Km nchi haina mikakat tekelezwa ya kilimo na haijui wanaolima inawagharim vp, kwa nn uweke mashart yasiyokuwa na mantink kwa wakulima katk ktafta soko? Ulichokilima co lazma ukiuze ndan...
Kna mwenye lv 4 lkn bado mzigo, kna asie na lv 4 lkn ni best fighter na anapesa ya kununua hyo lv 4 ila kaamua kuwekeza kwngne akawa na Honda yake ya kumuwahisha kazn! Ko unavokuwa unatoa ushaur jarb kutoa ushaur unaoshambulia fursa co kudhoofisha fursa, structured life zilipendwa!
Ttzo afya unaichukulia as special case kwa supp, hata art wnapata supp! Topc ni kwamba, ikiwa unajielewa kwa coz yako hyo ya afya au art, unaanzaje kupata supp hahahahaaa! Lkn jaman chuo hakina mkomaaji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.