wanzobe wanzobe
Member
- Sep 21, 2017
- 25
- 20
Ttzo afya unaichukulia as special case kwa supp, hata art wnapata supp! Topc ni kwamba, ikiwa unajielewa kwa coz yako hyo ya afya au art, unaanzaje kupata supp hahahahaaa! Lkn jaman chuo hakina mkomaaji!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena hiyo Mentaly ukimaliza soma utajihisi nawe kichaa fulan ivi hahaha au ukaenda mirembe field aseee kila mtu utamuona anakichaa
Kuna kitu cha Embryology huyu asingekuja jisifu hapa nmemuhifadhi tu
Umesahau mengine kama Parmacology, surgery na pathologyAhsantheee !!!babaaa uyuuu ajaijua ata physiology ,nadhan ndo mana ansema ivi,,,
Weka mbal na watoto na wakubwa pia kitu MENTALY HEALTH
Chuo chako tafadhali?Hiyo ndio hawapati supp?
kuna watu wana 4.5 lakini ana suppKUPATA SUP NI UKILAZA
Hiyo ndio hawapati supp?
Mimi niko Afya sijawahi shikwa sup, kwa hiyo inawezekana kusoma hadi kumaliza chuo bila kushikwa na tupo wengi tu.Toa Maoni Yako Kwa Kutumia Modules Za Hiyo Bachelor Yako In History! Huku Kwenye Afya Usiposhikwa Na Sup Utakuwa Ni CHIZI
Walimu wa chuo nao wana mambo zao aisee asikwambie MTU.wana hila wengineDegree bila sup inawezekana ni simple tu kwa kufanya kilichokupeleka na usikwaruzane na walimu.