Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii?

Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii?

Sidhani kama kuna mtu anazuwiwa kusema. Watu wanatukana badala ya kusema. Si haki. Watu wajifunze kukosoa constructively na si destructively. Kuna tofauti kati ya "njoo hapa ya lugha ya ukali na njoo hapa hiyo hiyo ya lugha ya kistaarabu.

Hapa kwamba watu wanatukana ndio wote wenye utetezi dhaifu dhidi yake mnapojifichia. Matusi ya hapa na pale hayawezi kukosekana kwani watu hawanafanani. Hata huko maofisini na sehemu nyingine watu wenye lugha chafu wapo lakini hatufikii mahali pa kukoseana uvumilivu kwa mapungufu yetu.

Kisha utambue watu wote hatuwezi kuwa ndio mzee, kitu ambacho mkulu hataki na pia hakubaliani na mawazo mbadala labda uyalete kwa njia ya kujipendekeza. Sasa wale ambao wanamkosoa waziwazi ndio hao wanakutana na hiyo tabia yake ya kukosa uvumilivu. Hitimisho lake ni watu hao kumuita dictator. Kwa hiyo kama ni dictator au sio kila mtu inategemea na eneo alilosimama. Kuna watu wanaona namba 6 kutokana na eneo waliposimama na wengine wanaisoma kama 9 na wote wako sahihi.
 
Wanabodi,

Kuna hoja kuwa kauli huumba. Yaani ukitoa kauli fulani, kauli hiyo inakuwa na nguvu za kuumba, hivyo huko mbele inakuja kukiumba kitu hicho kilichosemwa au kilichozungumzwa.

Hili likitokea, kosa ni la nani kati ya kilichotokea na aliyekiumba kwa kauli?.

Kama ni kweli kauli huwa zinaumba, kuna hii kauli kuwa Tanzania itatawaliwa na dikiteta, na kama rais Magufuli kweli ni dikiteta, then sio kosa lake kuwa dikiteta, kwa sababu huo udikiteta hakujiumbia yeye, bali uliumbwa kwa kauli kuwa tutatawaliwa na rais dikiteta!.

Sikiliza kwa makini clip hii, kisha ujibu maswali yafuatayo

Jee ni kweli Tanzania tuko under dictatorship?,
Kama ni kweli, jee kosa ni la nani?,
Ni la dikiteta aliyepo ambaye hakujiumba, bali aliumbwa, au ni kosa la kauli yenye nguvu, iliyotuumbia huo udikiteta?.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Jumatatu Njema.

Paskali

Naomba nikujibu hivi ndugu Paskali
1. Ndiyo
2. Kosa ni la ccm
3. Ccm ndio waliomuumba
Mwalimu alitushauri akisema ' msiwe waoga lakini Leo hii utathubutu kutokuwa muoga kama watu wanapigwa risasi matairi yanachomolewa sasa huu ni zaidi ya udikteta.
Hope nimekujibu vyema kama marks 99.9999%
 
Wanabodi,

Kuna hoja kuwa kauli huumba. Yaani ukitoa kauli fulani, kauli hiyo inakuwa na nguvu za kuumba, hivyo huko mbele inakuja kukiumba kitu hicho kilichosemwa au kilichozungumzwa.

Hili likitokea, kosa ni la nani kati ya kilichotokea na aliyekiumba kwa kauli?.

Kama ni kweli kauli huwa zinaumba, kuna hii kauli kuwa Tanzania itatawaliwa na dikiteta, na kama rais Magufuli kweli ni dikiteta, then sio kosa lake kuwa dikiteta, kwa sababu huo udikiteta hakujiumbia yeye, bali uliumbwa kwa kauli kuwa tutatawaliwa na rais dikiteta!.

Sikiliza kwa makini clip hii, kisha ujibu maswali yafuatayo

Jee ni kweli Tanzania tuko under dictatorship?,
Kama ni kweli, jee kosa ni la nani?,
Ni la dikiteta aliyepo ambaye hakujiumba, bali aliumbwa, au ni kosa la kauli yenye nguvu, iliyotuumbia huo udikiteta?.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Jumatatu Njema.

Paskali



Hivi kama mtu anaishi under dictatorship anahitaji kuuliza kama kweli anaishi under dictatorship? Nilifikiri dictatorship ni dictatoship haihitaji mjadala ili kujua kama kuna udictatorship au la, hivyo kwangu mimi maadamu hata mnauliza hilo swali ina maana hakuna dictatorship Tanzania!
 
Wanabodi,

Kuna hoja kuwa kauli huumba. Yaani ukitoa kauli fulani, kauli hiyo inakuwa na nguvu za kuumba, hivyo huko mbele inakuja kukiumba kitu hicho kilichosemwa au kilichozungumzwa.

Hili likitokea, kosa ni la nani kati ya kilichotokea na aliyekiumba kwa kauli?.

Kama ni kweli kauli huwa zinaumba, kuna hii kauli kuwa Tanzania itatawaliwa na dikiteta, na kama rais Magufuli kweli ni dikiteta, then sio kosa lake kuwa dikiteta, kwa sababu huo udikiteta hakujiumbia yeye, bali uliumbwa kwa kauli kuwa tutatawaliwa na rais dikiteta!.

Sikiliza kwa makini clip hii, kisha ujibu maswali yafuatayo

Jee ni kweli Tanzania tuko under dictatorship?,
Kama ni kweli, jee kosa ni la nani?,
Ni la dikiteta aliyepo ambaye hakujiumba, bali aliumbwa, au ni kosa la kauli yenye nguvu, iliyotuumbia huo udikiteta?.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Jumatatu Njema.

Paskali

Mkuu, logic ya mwl ni sahh anajarb kuonesha chanzo cha kutawaliwa na dictator ni uoga! Ukijarb kuangalia maamz ya hyo DC's, RC's na wateule wengine ni uoga na unafic, dhana hii inapandizka udictator, ko kadri unavokuwa muoga unaruhusu dictatorship! Uoga wetu umemfanya aonekane dictator!
 
Paskali ndugu yangu. Una uelewa wa mambo kiupana sana tena sana. Kwa kutambua hilo, naomba nikuulize kwanza maana ya dikteta ni nini? Hili neno liko kwenye kamusi zetu? Je, haiwezi kuwa rungu la wakubwa ambalo linatumika kusambaratisha umoja wa vinchi vidogo kama haka ka kwetu?

Ni kweli sisi tunaongozwa na dikteta? Kwa dalili au vipimo vipi? Ukiwa Baba wa familia na ukaamka na kumkuta mtoto wako hapo nyumbani hajaenda shule na anachezea midoli au anaumba ng'ombe wa udongo na angalau ukatata kufahamu kwa nini hajaenda shule na akakujibu hataki utafanyaje?

Nafahamu ni lazima utatumia nguvu kwa kuwa kama mzazi utakuwa unafahamu umhimu wa shule. Hapo hujawa dikteta? Ni dhahiri utakuwa dikteta japo dhamira yako itakuwa sahihi na ya kumuokoa mwanao ili asipate madhila huko mbeleni. Lakini pia kuna mifano mingi sana hapa ninaweza kuitoa ikiwemo ya viongozi waliopachikwa majina ya udikteta na mpaka wakaondoshwa madarakani na wengine kuuwawa kama wanyama. Tanzania hatuna dikteta wala hatujampata wa kufanana nae. Mwalimu pia aliwahi kuitwa dikteta na hao hao wanaojaribu kupenyeza hii kitu sasa.

Hakika si watu wema kwetu. Wana mbinu lukuki za kutuvuta mashati. Ukitaka mkeo akuheshimu ni lazima asiwe na uwezo wa kujipatia kipato chake Paskali. Akiwa na kazi yake na akajitosheleza wewe hutoweza kumwambia akupikie ugali usiku wa manane na kama huamini jaribu utakuja unioe mrejesho. Hizi ni propaganda kama demokrasia nk.

Tuziepuke tujenge nchi yetu. Tuna kiongizi mfia nchi tumuungee mkono. Hii ni bahati hatutaiona kirahisi naamini hivyo. Nyerere aliitwa dikteta lakini angalau yeye hakuwahi kukubali hayo na yawezekana hakuwa dikteta bali ni mzazi alietaka mtoto asichezee maboksi siku ya shule badala yake aende shule akasome ili kutengeneza maisha yake ya baadae.

Tusikubali msemo wa "wenzetu" UK au USA. Hao si wenzetu maana wana utamaduni tofauti na sisi na hawatakuja kuwa wenzetu milele.

Watakusifia ukishindwa na kamwe hawatakupenda ukiwa na dalili za kushinda. Ukijiweza maana yake hawatakunyonya tena.
Maneno mengi ila msingi wake ni uovu, uharibifu, uasi(ukiwaza kwa kuingilia Uhuru wa mwanadamu ni dhambi) . Mwanadamu kaumbwa kuwa huru ni Bora tuwe masikini ukitaka wa kutupwa lakini tubaki na Uhuru wetu. Planned economy tupia huko mbali kabisa
 
paskali kuna tofauti kubwa kati ya dikteta na mkali katika kusimamia wazembe,

nyerere huyu anasema kwamba mambo ya kuongoza nchi yanahitaji u rafu kidogo upole hauhitajiki

pitia video hii hadi mwisho
 
Kiongozi yeyote isipokuwa wa Kidini lazima awe Dictator.

Julius Kambarage Nyerere naye alikuwa Dictator mzuri tu.

Kama sio Dictator huwezi kuongoza watu.

Hata wewe Baba unayeongoza familia ni lazima awe Dictator la sivyo utaamshwa asubuhi na Hausegirl ili ukadeki chooni.

Kama Kiongozi lazima uwe na nguvu ya kufanya maamuzi magumu ili kuitetea Falsafa yako ya uongozi ambayo baadhi ya watu wataipinga au itawaumiza, lakini kama kiongozi utailazimisha ifanyike.

Ili kutetea Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, Mwalimu Nyerere alitaifisha kwa lazima miradi mikubwa ya watu binafsi na majengo yao ya thamani, na taasisi kama za elimu na afya na mashirika binafsi.

Nyerere alilazimisha watu kuyahama makazi yao na kwenda kuishi katika vijiji vya ujamaa na kuwafanyisha kazi kwa lazima katika mashamba ya ujamaa.

Hayo ni baadhi mambo machache aliyoyafanya ili ku Dictate siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.

Kiongozi yeyote katika ngazi ya Uraisi ni lazima awe Dictator ndio maana lazima alaumiwe na watu wanaoathirika na maamuzi yake.

Wenyeviti wote wa vyama vya Siasa Tanzania ni Ma-Dictator pia.
Waangalie kwa umakini

Freeman Mbowe
Ibrahim Lipumba
John Cheyo
Agustine Mrema
James Mbatia

Wote ni Madictator

Kama sio Dictator huwezi kuongoza hata familia ya watu wawili. Yaani wewe na mkeo.
Udikteta kawafanyie ng'ombe wako unaowachunga.
 
Kiongozi yeyote isipokuwa wa Kidini lazima awe Dictator.

Julius Kambarage Nyerere naye alikuwa Dictator mzuri tu.

Kama sio Dictator huwezi kuongoza watu.

Hata wewe Baba unayeongoza familia ni lazima awe Dictator la sivyo utaamshwa asubuhi na Hausegirl ili ukadeki chooni.

Kama Kiongozi lazima uwe na nguvu ya kufanya maamuzi magumu ili kuitetea Falsafa yako ya uongozi ambayo baadhi ya watu wataipinga au itawaumiza, lakini kama kiongozi utailazimisha ifanyike.

Ili kutetea Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, Mwalimu Nyerere alitaifisha kwa lazima miradi mikubwa ya watu binafsi na majengo yao ya thamani, na taasisi kama za elimu na afya na mashirika binafsi.

Nyerere alilazimisha watu kuyahama makazi yao na kwenda kuishi katika vijiji vya ujamaa na kuwafanyisha kazi kwa lazima katika mashamba ya ujamaa.

Hayo ni baadhi mambo machache aliyoyafanya ili ku Dictate siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.

Kiongozi yeyote katika ngazi ya Uraisi ni lazima awe Dictator ndio maana lazima alaumiwe na watu wanaoathirika na maamuzi yake.

Wenyeviti wote wa vyama vya Siasa Tanzania ni Ma-Dictator pia.
Waangalie kwa umakini

Freeman Mbowe
Ibrahim Lipumba
John Cheyo
Agustine Mrema
James Mbatia

Wote ni Madictator

Kama sio Dictator huwezi kuongoza hata familia ya watu wawili. Yaani wewe na mkeo.
Sio kweli kabisa
 
Udikteta kawafanyie ng'ombe wako unaowachunga.
Acha jazba wewe jibu kwa hoja kama unaona sijaandika vizuri hoja yangu.
Jinsi ulivyojibu unaonesha wazi kuwa wewe ni Dictator mkatili.
Ushawaleta ng'ombe kwenye mjadala.
Ivi ungekuwa kiongozi halafu mtu kaandika kitu kinachokukera si ungemharibu kabisa.
We kuwa tu mstaarabu kama kuna hoja jibu kwa hoja ndivyo tunavyojengana.
Punguza jazba.
 
paskali kuna tofauti kubwa kati ya dikteta na mkali katika kusimamia wazembe,

nyerere huyu anasema kwamba mambo ya kuongoza nchi yanahitaji u rafu kidogo upole hauhitajiki

pitia video hii hadi mwisho

Huo ukalimisha wako utamuongoza nani Karne hii. Kila mtu anastahili heshima na kuthaminiwa utu wake. Hayo mawazo yako ukali sijui wewe akilini mwako unayatoa wapi. Sidhani kama unahitaji kiboko asubuhi ili uamke mapema kuwahi Kazini....... Rethink
 
Acha jazba wewe jibu kwa hoja kama unaona sijaandika vizuri hoja yangu.
Jinsi ulivyojibu unaonesha wazi kuwa wewe ni Dictator mkatili.
Ushawaleta ng'ombe kwenye mjadala.
Ivi ungekuwa kiongozi halafu mtu kaandika kitu kinachokukera si ungemharibu kabisa.
We kuwa tu mstaarabu kama kuna hoja jibu kwa hoja ndivyo tunavyojengana.
Punguza jazba.
Unasema nijibu hoja kama naona hujaandika vizuri, wtf is that?

Pia unasema udikteta ni mzuri, lakini hapo hapo unadai mimi ni dikteta. Wtf? Sidhani kama unafahamu unachozungumza.
 
Unasema nijibu hoja kama naona hujaandika vizuri, wtf is that?

Pia unasema udikteta ni mzuri, lakini hapo hapo unadai mimi ni dikteta. Wtf? Sidhani kama unafahamu unachozungumza.
Wapi nimeandika kuwa "udikteta ni mzuri" ?
Hebu nukuu hiyo sentensi halafu onesha nilipoiandika.

Acha kujifanya mjuaji.

Kama hujui kitu uliza uelimishwe au kaa kimya tu.
 
Kiongozi yeyote isipokuwa wa Kidini lazima awe Dictator.

Julius Kambarage Nyerere naye alikuwa Dictator mzuri tu.

Kama sio Dictator huwezi kuongoza watu.

Hata wewe Baba unayeongoza familia ni lazima awe Dictator la sivyo utaamshwa asubuhi na Hausegirl ili ukadeki chooni.

Kama Kiongozi lazima uwe na nguvu ya kufanya maamuzi magumu ili kuitetea Falsafa yako ya uongozi ambayo baadhi ya watu wataipinga au itawaumiza, lakini kama kiongozi utailazimisha ifanyike.

Ili kutetea Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea, Mwalimu Nyerere alitaifisha kwa lazima miradi mikubwa ya watu binafsi na majengo yao ya thamani, na taasisi kama za elimu na afya na mashirika binafsi.

Nyerere alilazimisha watu kuyahama makazi yao na kwenda kuishi katika vijiji vya ujamaa na kuwafanyisha kazi kwa lazima katika mashamba ya ujamaa.

Hayo ni baadhi mambo machache aliyoyafanya ili ku Dictate siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.

Kiongozi yeyote katika ngazi ya Uraisi ni lazima awe Dictator ndio maana lazima alaumiwe na watu wanaoathirika na maamuzi yake.

Wenyeviti wote wa vyama vya Siasa Tanzania ni Ma-Dictator pia.
Waangalie kwa umakini

Freeman Mbowe
Ibrahim Lipumba
John Cheyo
Agustine Mrema
James Mbatia

Wote ni Madictator

Kama sio Dictator huwezi kuongoza hata familia ya watu wawili. Yaani wewe na mkeo.
Siyo huu ujinga unaposema "kiongozi yeyote isipokuwa wa kidini lazima awe dictator". Na kwamba "lazima uwe dikteta lasivyo utaamshwa na hausi geli asubuhi ukadeki choo"

Huo ndo upupu ulioandika halafu unataka nitafute mahali ulipo sema udikteta ni mzuri. Unatembea na diarrhea ukiwa hujitambui?

Unatembea tu na kuacha diarrhea nyuma kama bata?
 
Siyo huu ujinga unaposema "kiongozi yeyote isipokuwa wa kidini lazima awe dictator". Na kwamba "lazima uwe dikteta lasivyo utaamshwa na hausi geli asubuhi ukadeki choo"

Huo ndo upupu ulioandika halafu unataka nitafute mahali ulipo sema udikteta ni mzuri. Unatembea na diarrhea ukiwa hujitambui?
Kwahiyo hapo ndipo nilipo andika udicteta ni mzuri ?
Ivi kwanini unaninukuu halafu unazungumza
pumba zako ?
Jinukuu mwenyewe halafu useme hizo pumba zako.
 
Kwahiyo hapo ndipo nilipo andika udicteta ni mzuri ?
Ivi kwanini unaninukuu halafu unazungumza
pumba zako ?
Jinukuu mwenyewe halafu useme hizo pumba zako.
Hujitambui wewe kelb. Ukiandika upupu na kuposti huku lazima upewe za uso. Huo ujinga wako una bahati wameunga na hii ni thread yenye maudhui mengine.

Usitegemee kuandika upumbavu halafu unyamaziwe.

Nenda kawe dikteta kwa hao ng'ombe wako unaowachunga.
 
Wanabodi,

Kuna hoja kuwa kauli huumba. Yaani ukitoa kauli fulani, kauli hiyo inakuwa na nguvu za kuumba, hivyo huko mbele inakuja kukiumba kitu hicho kilichosemwa au kilichozungumzwa.

Hili likitokea, kosa ni la nani kati ya kilichotokea na aliyekiumba kwa kauli?.

Kama ni kweli kauli huwa zinaumba, kuna hii kauli kuwa Tanzania itatawaliwa na dikiteta, na kama rais Magufuli kweli ni dikiteta, then sio kosa lake kuwa dikiteta, kwa sababu huo udikiteta hakujiumbia yeye, bali uliumbwa kwa kauli kuwa tutatawaliwa na rais dikiteta!.

Sikiliza kwa makini clip hii, kisha ujibu maswali yafuatayo

Jee ni kweli Tanzania tuko under dictatorship?,
Kama ni kweli, jee kosa ni la nani?,
Ni la dikiteta aliyepo ambaye hakujiumba, bali aliumbwa, au ni kosa la kauli yenye nguvu, iliyotuumbia huo udikiteta?.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Jumatatu Njema.

Paskali

Watu wasiojulikana wanatupeleka huko.
 
Back
Top Bottom