Recent content by wandu

  1. wandu

    Tujikumbushe mistari ya msanii jasiri Roma

    'roma atabaki juu ata mkiminya mapu...... " Mstari mwingine anasema, " geita mlionga dhahabu mkaraghaiwa na vitenge, Napata ghazabu na propaganda za wabunge wase...... " Uyu jamaa yupo vzr upstairs bas tu wamemfanya hakuna.
  2. wandu

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mi wameshakuja kufanya survey tangia tarehe 17 mach mpaka sasa walisema watatuma msg ya kwenda kulipia but naona kimya mpaka leo. So naomba mnijuze huwa inachukua Muda gani Baada ya survey?
  3. wandu

    Special Thread ya Dar Mpya: Paul Makonda afanya Ziara Jijini la Dar kusikiliza kero za wananchi

    Wasalaam wana Jf, kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza kwa nini hizi ziara za mkuu wetu wa mkoa wa Dar, Mh Paul Makonda hazionyeshwi kwenye taarifa za habari za vituo vingine vya habari? Mimi binafsi muda ambao huonyeshwa mubashara, kwenye kituo cha mawingu huwa nipo kwenye mishe za kutafuta...
  4. wandu

    Mugabe Mungu anakuona ujue!

    Kuna ule mmoja anasema, "mwanamke akipewa uzuri bila akili, kitakacho umia ni papuchi yake" Uyu mzee kama kweli hii misemo ni yake Mungu anamuona.
  5. wandu

    Hivi kwanini Wakenya hawatupendi Watanzania?

    wenyewe nani? Na dada zao nani?
  6. wandu

    Jihadhari na wizi wa mtandao simu: 0658-051817

    Mbulula wewe ndo maana ujaelewa.nini sasa usichoelewa?mbona kila kitu kipo clear.eti na ww ni great thinker.aya ndo matokeo ya div 5 shame on u
  7. wandu

    kituko cha prof.jk na pm pinda

    Kwı kwı kwı umefanya asıra zangu zıyeyuke asante sana mkuU
  8. wandu

    Jinsi ya kugundua simu feki za samsung

    Nimekusoma mkuu we ni noooomaaa,asante kwa maujanja maana nilitaka kununua galaxy feki
  9. wandu

    Vodacom yapoteza wateja zaid ya 700 katika wilaya ya Kibondo

    mtandao wa tigo bwana burudaaani!!
  10. wandu

    Kimenuka Mandela road

    ni noma mkuu ucjaribu kupita huku ukielekea bgrn au temeke
Back
Top Bottom