'roma atabaki juu ata mkiminya mapu...... "
Mstari mwingine anasema,
" geita mlionga dhahabu mkaraghaiwa na vitenge,
Napata ghazabu na propaganda za wabunge wase...... "
Uyu jamaa yupo vzr upstairs bas tu wamemfanya hakuna.
Mi wameshakuja kufanya survey tangia tarehe 17 mach mpaka sasa walisema watatuma msg ya kwenda kulipia but naona kimya mpaka leo.
So naomba mnijuze huwa inachukua Muda gani Baada ya survey?
Wasalaam wana Jf, kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza kwa nini hizi ziara za mkuu wetu wa mkoa wa Dar, Mh Paul Makonda hazionyeshwi kwenye taarifa za habari za vituo vingine vya habari?
Mimi binafsi muda ambao huonyeshwa mubashara, kwenye kituo cha mawingu huwa nipo kwenye mishe za kutafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.