Uliambiwa ulikuwa unapenda nini ukiwa mdogo? Tafsiri halisi iliyofanikisha maisha yangu

King_Villa

JF-Expert Member
Feb 6, 2012
575
378
Habari za siku wadau,

Bila shaka kila mtu yupo hapa duniani kwa malengo ya kuishi maisha mazuri.
Haifurahishi sana kuwa katika maisha ambayo hayakupi furaha na pia inaumiza sana kuona unaishi maisha yaleyale kila siku.

Binafsi nilijaribu kutoka kwa kila njia maishani ila nilishindwa kiukweli.
Nilijaribu kusoma engineering ila sikuona chochote kikiongezeka.
Nikajaribu kusomea uchumi ila hakuna kitu nilijikuta na drop kila kukicha.

Mwisho wa siku nikaamua kukata tamaa kabisa ya maisha na kuwa nafanya vibiashara vya kawaida ila navyo ni majanga. Mwisho wa siku nikaona muda unaenda afu nakuwa niko loose.

Nilitafakari nikaamua nikumbuke kutumia vitu nilivyoambiwa nilikuwa napenda kuvifanya nikiwa mdogo labda naweza nikatoka.

Nikakumbuka niliambiwa wakati nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana zile toys za magari lakini ilikuwa nikiletewa naharibu siku hiyo hiyo kwa kubomoa kwa jiwe nikitafuta anayeendesha ni nani.

Pamoja na kupigwa sana nilikuwa naweza kulia siku mzima nikidai kuletewa toys za gari. Na miaka ilivyoenda nilikuwa na interest na magari sana.

Nilipenda kufuatilia magari sana mifumo ya engine, nilipenda kusoma sana mwenyewe Juu ya viwanda vinavyotengeneza magari na nikafanikiwa kujua vitu vingi kuhusu magari na nikiwa mdogo mzee akisahau funguo anakuta gari nimeshamtolea ndani kwa reverse na hajui nimejifunzia wapi, ananipiga vibao viwili nalia kidogo ila sikomi.

Na miaka hiyo ni manual transimittion ndo zipo ila miaka ilivyokwenda sikutaka kuingia kwenye hiyo sector kwa kuhisi ni kazi za watu wasiosoma. Lakini nilivyokumbuka utotoni nikaona ngoja nikaendeleze hicho nilichokipenda utotoni labda naweza kutoka.

Mungu si athumani nilifurahia sana masomo yale! Nakumbuka siku nilipopata mechanical grade test! Sikulala kwa furaha. Baada ya muda mfupi nikafanya interview nikipambana na watu waliosemea mechanical engineering ilikuwa ni
kazi kukagua engine na nikalazimishwa kufanya bila vigezo na nilifanikiwa kupewa nafasi kama Vehicle Inspector baada ya watu wa Japan kuona kipaji hicho nikapata safari ya kwenda Japan kwenye viwanda vya pikipiki na nikatoa comment kwenye moja ya engine ARC Designer wa pale ndio ikawa chanzo cha maisha kuanza kuwa safi.

Nimefanikiwa kufanya kazi na sport racing company za nje na ndani. Pia nimefanikiwa kuwa kwenye body ya waundaji wa turbocharged engine ya company ya magari ya Marekani ya gari za supra. Niliitwa kwenye body ya uundaji wa engine za Toyota katika 4th generation ya s - FE series ambayo bado haijatoka.

Pia saivi nimesaini mkataba wa miaka 3 na kampuni ya usambazaji wa vipuri vya magari ya Marekani East Africa.

Nimefanikiwa haya pasipokuwa na cheti chotote cha usomi ila nilidhamini kile nilichoamini Mungu alikiweka ndani yangu bila mimi kujua.

Wadau tusikomae na maelimu jaribu kuangalia pia historia yako!
 
Hongera sana mkuu..

Kama kila mtu angefuata akipendacho hakika hata shida ya ajira isingekuwa kubwa sana kihivyo... Kwa sababu level ya specialization kuwa kubwa sana.

Napenda kula maisha huku nafanya kile nikipendacho
 
Hongera sana mkuu..

Kama kila mtu angefuata akipendacho hakika hata shida ya ajira isingekuwa kubwa sana kihivyo... Kwa sababu level ya specialization kuwa kubwa sana.

Napenda kula maisha huku nafanya kile nikipendacho
Kweli mkuu
 
Hahaha unawezaje kufanya hayo bila vyeti nchi hii ?! Wewe ni muhindi nini?! Wenzako tumefukuzwa kwa kukosa vyeti vya form four tukaitwa feki na hewa. Tuliambiwa hizo trade test bila vyeti vya form four tulale mbele, sasa tulichokipenda kukifanya tumeambiwa mapenzi bila elimu na vyeti mwisho ni nyumbani kwetu. Tunavyovipenda tuvisomee, wewe ulichokipenda hujakisomea na uka butua ndio nikauliza kwani wewe muhindi?! Wahindi hao sijui wengine huwa wanasomea wapi wamejaa kisutu na upanga lakini huwa siwahoni mashule yetu haya, lakini kila sekta wapo na wengi hawana vyeti, lakini sisi baba moi akikukuta huko huna kipande/ cheti duuuh utajuta kwanini ulizaliwa.
Anyway mimi nilipokuwa mtoto nilipenda sasa pipi na barafu(ice cream) lakini hizo ndoto nimeshindwa kuziishi, kwani sina vyeti mwenzenu lakini bado napenda bado.
 
Thanks for sharing this inspiring story. There are some moments in life one needs imagination to consider such intriguing facts. Ila haya mambo hayawezekani Afrika ambapo watu wanafundishwa kukariri na kujaza vyeti wasivyofanyia kazi.
 
Nilipenda sana kuhoji mama alikuwa anaamini ntakuwa mwansheria siku moja. Lakini Mimi niliamini nitafika chuo regardless ntasoma nini na chuo eti kile alichosoma Nyerere. Kipindi hicho tuliamini shule ya sekondari bora ni Azania na Chuo ni mimani pekee.
Dah... maisha ya utoto unatamani wakt mwingne urekebishe vitu lakini time wont let you to
 
Habari za siku wadau,

Bila shaka kila mtu yupo hapa duniani kwa malengo ya kuishi maisha mazuri.
Haifurahishi sana kuwa katika maisha ambayo hayakupi furaha na pia inaumiza sana kuona unaishi maisha yaleyale kila siku.

Binafsi nilijaribu kutoka kwa kila njia maishani ila nilishindwa kiukweli.
Nilijaribu kusoma engineering ila sikuona chochote kikiongezeka.
Nikajaribu kusomea uchumi ila hakuna kitu nilijikuta na drop kila kukicha.

Mwisho wa siku nikaamua kukata tamaa kabisa ya maisha na kuwa nafanya vibiashara vya kawaida ila navyo ni majanga. Mwisho wa siku nikaona muda unaenda afu nakuwa niko loose.

Nilitafakari nikaamua nikumbuke kutumia vitu nilivyoambiwa nilikuwa napenda kuvifanya nikiwa mdogo labda naweza nikatoka.

Nikakumbuka niliambiwa wakati nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana zile toys za magari lakini ilikuwa nikiletewa naharibu siku hiyo hiyo kwa kubomoa kwa jiwe nikitafuta anayeendesha ni nani.

Pamoja na kupigwa sana nilikuwa naweza kulia siku mzima nikidai kuletewa toys za gari. Na miaka ilivyoenda nilikuwa na interest na magari sana.

Nilipenda kufuatilia magari sana mifumo ya engine, nilipenda kusoma sana mwenyewe Juu ya viwanda vinavyotengeneza magari na nikafanikiwa kujua vitu vingi kuhusu magari na nikiwa mdogo mzee akisahau funguo anakuta gari nimeshamtolea ndani kwa reverse na hajui nimejifunzia wapi, ananipiga vibao viwili nalia kidogo ila sikomi.

Na miaka hiyo ni manual transimittion ndo zipo ila miaka ilivyokwenda sikutaka kuingia kwenye hiyo sector kwa kuhisi ni kazi za watu wasiosoma. Lakini nilivyokumbuka utotoni nikaona ngoja nikaendeleze hicho nilichokipenda utotoni labda naweza kutoka.

Mungu si athumani nilifurahia sana masomo yale! Nakumbuka siku nilipopata mechanical grade test! Sikulala kwa furaha. Baada ya muda mfupi nikafanya interview nikipambana na watu waliosemea mechanical engineering ilikuwa ni
kazi kukagua engine na nikalazimishwa kufanya bila vigezo na nilifanikiwa kupewa nafasi kama Vehicle Inspector baada ya watu wa Japan kuona kipaji hicho nikapata safari ya kwenda Japan kwenye viwanda vya pikipiki na nikatoa comment kwenye moja ya engine ARC Designer wa pale ndio ikawa chanzo cha maisha kuanza kuwa safi.

Nimefanikiwa kufanya kazi na sport racing company za nje na ndani. Pia nimefanikiwa kuwa kwenye body ya waundaji wa turbocharged engine ya company ya magari ya Marekani ya gari za supra. Niliitwa kwenye body ya uundaji wa engine za Toyota katika 4th generation ya s - FE series ambayo bado haijatoka.

Pia saivi nimesaini mkataba wa miaka 3 na kampuni ya usambazaji wa vipuri vya magari ya Marekani East Africa.

Nimefanikiwa haya pasipokuwa na cheti chotote cha usomi ila nilidhamini kile nilichoamini Mungu alikiweka ndani yangu bila mimi kujua.

Wadau tusikomae na maelimu jaribu kuangalia pia historia yako!
By profession ni medical person (clinician) jambo ambalo nilikua nalipenda sana utotoni ni mpira,nakumbuka kipindi nasoma primary STD 5_7 MAMA yangu kipenzi alininiwekea ratiba kua nikitoka shule nibadili uniform kisha niende madrasa na alikua mkali na akilisimamia sana katika hili,ila mara kadhaa nilikua nina dodge kwenda madrasa na badala yake naenda kupiga mpira (chandimu) na washkaji mtaa mwingine ila mara zote nikiwa nime dodge MAMA huwa anajua na siku zingine hua anipi chakula cha jioni/usiku kama ikiwa siku hiyo nime dodge


Kipindi fulani kukawa kumeanzishwa mashindano uwanja wa wilaya kukawa na team kama kumi hivi anashindaniwa kuku nikawa nimepata nafasi kwa team ya mtaa mwingine sababu niliogopa kucheza team ya nyumbani maana wazazi hasa mama alikua hapendi,kwenye yale mashindano team yetu ilifika fainali,nakumbuka siku ile nilionyesha kiwango cha hali ya juu mpaka mechi inaisha NUSU ya mashabiki ilikuja kunibeba na kunirusha juu na kila aliekuja ilikua ananipa pesa nakumbuka nilikusanya sh 15480 mwaka 2003 ITABAKI KUA KICHWANI MWANGU SIKU ILE

BABA yangu alikua anafanya biashara ya nguo soko la wilaya kiukweli hakua na interest sana na mpira ila kesho yake alivoenda sokoni akawa anapewa zile story kua mwanao ana kipaji kikubwa sana na MAMA yangu akawa amepata zile taarifa,nakumbuka kiasi kile cha pesa nilichovuna siku ile ya fainali nilimpatia MAMA kiasi kadhaa na baada ya hapo nikawa nimefahamika kwa kasi ya ajabu sana mitaani,sokoni na shule pia

Lakini wazazi hawakuridhia kabisa na jambo lile na hii hua naona ni MISTAKE WALIYOIFANYA WAZAZI WANGU WAPENDWA KATIKA MAISHA YANGU,nilivohitimu elimu ya msingi 2004 majibu yalivotoka nikawa nimepangiwa shule ya kutwa MASASI DAY SEC SCHOOL na kwa sababu wazazi hawakuta kabisa nijihusishe na mpira ikabidi wanihamishie MASONYA SEC ambapo nilisoma O_level na baadae NDANDA SEC ambapo nilisoma advance

Bado naupenda mpira na bado ninacheza mpira kama sehemu ya starehe yangu lakini si kama maisha tena na naamini kama wazazi wangesema wakubali na wasimamie kipaji changu THIS TIME ningekua level nyingine PROFESSIONAL PLAYER

Ninao uwezo mkubwa sana wa kuusoma mchezo na KUBASHIRI pia na hili naweza kulidhihirisha kwenye BETTING maana hua ninachota sana pesa za muhindi huko
 

Attachments

  • Screenshot_20200801-134048_Messages.jpg
    Screenshot_20200801-134048_Messages.jpg
    111.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20200801-134118_Messages.jpg
    Screenshot_20200801-134118_Messages.jpg
    38 KB · Views: 1
By profession ni medical person (clinician) jambo ambalo nilikua nalipenda sana utotoni ni mpira,nakumbuka kipindi nasoma primary STD 5_7 MAMA yangu kipenzi alininiwekea ratiba kua nikitoka shule nibadili uniform kisha niende madrasa na alikua mkali na akilisimamia sana katika hili,ila mara kadhaa nilikua nina dodge kwenda madrasa na badala yake naenda kupiga mpira (chandimu) na washkaji mtaa mwingine ila mara zote nikiwa nime dodge MAMA huwa anajua na siku zingine hua anipi chakula cha jioni/usiku kama ikiwa siku hiyo nime dodge


Kipindi fulani kukawa kumeanzishwa mashindano uwanja wa wilaya kukawa na team kama kumi hivi anashindaniwa kuku nikawa nimepata nafasi kwa team ya mtaa mwingine sababu niliogopa kucheza team ya nyumbani maana wazazi hasa mama alikua hapendi,kwenye yale mashindano team yetu ilifika fainali,nakumbuka siku ile nilionyesha kiwango cha hali ya juu mpaka mechi inaisha NUSU ya mashabiki ilikuja kunibeba na kunirusha juu na kila aliekuja ilikua ananipa pesa nakumbuka nilikusanya sh 15480 mwaka 2003 ITABAKI KUA KICHWANI MWANGU SIKU ILE

BABA yangu alikua anafanya biashara ya nguo soko la wilaya kiukweli hakua na interest sana na mpira ila kesho yake alivoenda sokoni akawa anapewa zile story kua mwanao ana kipaji kikubwa sana na MAMA yangu akawa amepata zile taarifa,nakumbuka kiasi kile cha pesa nilichovuna siku ile ya fainali nilimpatia MAMA kiasi kadhaa na baada ya hapo nikawa nimefahamika kwa kasi ya ajabu sana mitaani,sokoni na shule pia

Lakini wazazi hawakuridhia kabisa na jambo lile na hii hua naona ni MISTAKE WALIYOIFANYA WAZAZI WANGU WAPENDWA KATIKA MAISHA YANGU,nilivohitimu elimu ya msingi 2004 majibu yalivotoka nikawa nimepangiwa shule ya kutwa MASASI DAY SEC SCHOOL na kwa sababu wazazi hawakuta kabisa nijihusishe na mpira ikabidi wanihamishie MASONYA SEC ambapo nilisoma O_level na baadae NDANDA SEC ambapo nilisoma advance

Bado naupenda mpira na bado ninacheza mpira kama sehemu ya starehe yangu lakini si kama maisha tena na naamini kama wazazi wangesema wakubali na wasimamie kipaji changu THIS TIME ningekua level nyingine PROFESSIONAL PLAYER

Ninao uwezo mkubwa sana wa kuusoma mchezo na KUBASHIRI pia na hili naweza kulidhihirisha kwenye BETTING maana hua ninachota sana pesa za muhindi huko
Umetisha mkuu
 
Back
Top Bottom