mamie maybe hakuwa na nia na wewe, au anasababu ingine lakini sio jina tu liharibu mahusiano had kutotaka kujua mtoto anaendeleaje.
jus move on coz sidhan kama hapo kuna upendo.....!
kwa sababu wameshalipa kiingilio, na uhakika wa kulipwa upo.......!
waaache walale mpaka wakorome na kuota. Coz cdhan kama waweza wacheer pipo like hao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.