Duu inauma sana...Mm nilikua hi yo TNA sekondary hadi chuo..na nilikua napoteza fahamu kila nikiwa hedhi kwa maumivu ya tumbo...na natokwa na damu hadi week Tatu...nimetumia dawa nying mno..Ila mwaka Jana ndo nimepona baada ya kutibiwa na dokta mmoja yupo chanika no specialist wa wanawake...
ni kweli hadi azae ndo atapona ..hata mm nateseka hadi sasa kila mwez ni cndao na drip tu..ma dokta alinishaur nizae ndo ntapona hata wazazi wanasema hivyo....so msaidien mtaji au mpe mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.