Recent content by wanazareth

  1. W

    Hapa nitakuwa nimepigwa changa la mcho?

    Damu sio plaza itoke...msikariri matukio
  2. W

    Huu ni Ugonjwa(wadada) ama?

    Duu inauma sana...Mm nilikua hi yo TNA sekondary hadi chuo..na nilikua napoteza fahamu kila nikiwa hedhi kwa maumivu ya tumbo...na natokwa na damu hadi week Tatu...nimetumia dawa nying mno..Ila mwaka Jana ndo nimepona baada ya kutibiwa na dokta mmoja yupo chanika no specialist wa wanawake...
  3. W

    Naombeni dua zenu my people.

    Ucjali kuwa na imani atajifungua salama tu..mungu aliempa uwezo was kushika mimba atamsaidia kujifungua salama
  4. W

    Hivi Baadhi Ya Wanawake Wana Pee Ktk Pants Zao??

    sio kweli situngekua tunanuka jaman
  5. W

    Nimetukanwa jamani...msaada wenu.

    maana yake ni inahusu! yaan nikifupisho cha kwan inahusu
  6. W

    Daktari ashauri msichana wetu wa kazi abebe mimba ili apone...!

    ni kweli hadi azae ndo atapona ..hata mm nateseka hadi sasa kila mwez ni cndao na drip tu..ma dokta alinishaur nizae ndo ntapona hata wazazi wanasema hivyo....so msaidien mtaji au mpe mimba
  7. W

    Ni Nani Huyu?????????????????

    heshimu dini za watu
Back
Top Bottom