Mkuu
Tutor B huyu dada kwa ninavyomjua ni mlokole..ninafahamiana nae tangu nipo form 2 zamani miaka ya 2000...hajihusishi kabisa na inshu za vijana wa sasa...na wakati yeye yupo form 2 aliumwa miezi miwili hadi wenzake walimtenga...shida ni hiyohiyo tumbo na damu...ingawa tumbo ndio linamsumbua sana wakati ule...
Ila juzi kanidokezea kitu flani(nilivyomuuliza mambo ya kiimani) alisema labda ni mjomba ake manake kuna kitu wakati yupo mtoto aliwahi kufanyiwa...hakuniambia ni kipi so alisema ngoja ajaribu kumuulizia maza ake...anahisi labda huenda ndio ikawa source, ngoja nitajaribu kumuulizia ni kitu gani hicho halafu nitashare ikibidi.