Natimiza miaka 23 leo ifikapo tar 1.

Natimiza miaka 23 leo ifikapo tar 1.

Hongerah sana kijana! Nimeipenda hii: ''namshukuru baba yangu mzazi kwa kutambua umuhimu wa malezi kwa mtoto na kutambua umuhimu wa elimu.Kanisomesha kwa hali na mali na kuvumilia usumbufu wa hapa na pale uliojitokeza,mpaka sasa nina kazi yangu,ninaishi vizuri na nina afya njema''.
 
Nice boy !! happy birthday..... take care of yourself and watunze wazazi wako. Good luck always be close to Mwenyeezi Mungu.
 
Hongerah sana kijana! Nimeipenda hii: ''namshukuru baba yangu mzazi kwa kutambua umuhimu wa malezi kwa mtoto na kutambua umuhimu wa elimu.Kanisomesha kwa hali na mali na kuvumilia usumbufu wa hapa na pale uliojitokeza,mpaka sasa nina kazi yangu,ninaishi vizuri na nina afya njema''.

umeipenda,eti enh?nahisi imekaa pouwa.
 
Heri ya siku ya kuzaliwa...na ya mwaka mpya pia.....Mungu aendelee kukujalia upole km lilivyo jina lako na aiondoe hiyo sehemu iliyo cruel!
 
Heri ya siku ya kuzaliwa...na ya mwaka mpya pia.....Mungu aendelee kukujalia upole km lilivyo jina lako na aiondoe hiyo sehemu iliyo cruel!

kweli we ni chujio la ukwehe!umechuja hadi nickname yangu./1 sana.LOVE U.
 
Heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa kwako...
 
Back
Top Bottom