MZEE WA ROCK
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 622
- 152
Ebu ngoja nikatoe lock kwanza nitakuletea jibu badae.....
huyu dawa yake kumuwekea rock sio kutoa sababu ukitoa utamuonea aibu mwehu huyu si na yeye amtukane km kaona katukanwa
Ebu ngoja nikatoe lock kwanza nitakuletea jibu badae.....
na wewe inahuu kuleta huku?
'Inahuu'= inakuhusu nini/vipi?!
pole
huyu dawa yake kumuwekea rock sio kutoa sababu ukitoa utamuonea aibu mwehu huyu si na yeye amtukane km kaona katukanwa
Pole kaka mi jioni moja narudi home na kimkweche changu nasikia konda wa daladala ananiambia oya acha kumbwelambwela,nilitamani kushuka nipigane.Maana ni bora unitusi nikakuelewa kuliko kunitusi halafu nisielewe maana yake...
huyu dawa yake kumuwekea rock sio kutoa sababu ukitoa utamuonea aibu mwehu huyu si na yeye amtukane km kaona katukanwa
Ebu ngoja nikatoe lock kwanza nitakuletea jibu badae.....
..ile banana yetu haikuisha janaa?
Ndo naimalizia hapa taratiiiiibu....
Haituhuuu