Endelea kumdanganya, ni kosa kutumia nembo ya Kampuni bila idhini ama kibali cha Kampuni husika. Ajiandae kwa lolote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli huyu huenda ana kasoro, kweli koote huko hajapata anategemea humu Jf? Aaaaah haya maajabu ya mwaka 2019. Humu sana sana atapata vichaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmh Putin ulinkali fijoo. Nimecheka sana yaani jamaa anakula ugali wa mwanaume menzake halafu analeta fyoko fyoko . Jamaa akigundua ndio kwa heri mwalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
We we nunua tu , mbona Mimi ninayo huu mwaka wa tano na haina shida yeyote?
Utunzaji ni muhimu kwa kifaa chochote. Hata hizi LG, Samsung kama hazikutunzwa haziwezi dumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmh pengine hilo basi la Frester ni cha Mtoto . Yapo mabasi ya Kampuni moja inaitwa Osaka Raha , aaaah haya ni balaaa. Kwanza ni ya zamani mengine yana Namba zinazoanza na A na yanakwenda Bkb, Ars na hata Mza.Yaani we acha tu. Ukweli SUMATRA wafanye kuyakagua haya mabasi vinginevyo mmmh...
ZFA wangewaalika pia Green Warriors na Mashujaa ya Kigoma kushiriki kombe hili la Mapinduzi 2019. Tungeona mechi nzuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa Uzi hajatoa maelezo ya kutosha , ndio maana Wachangiaji wengi wanatoa maoni ambayo hayaendani na Uzi .
Uandishi ni Taaluma jamani , tujitahidi kuandika vitu vinavyoeleweka ili tusiipotoshe jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmh ulivyoandika unaonesha hauko makini. Acha akutese tuu. Lakini itafikia wakati naye atakuhitaji na wewe hutakuwa na hamu naye tena. Duniani kuimba kupokezana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.