Uchakavu wa basi za Frester ruti ya Dar Bukoba

Uchakavu wa basi za Frester ruti ya Dar Bukoba

washwa washwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2012
Posts
1,613
Reaction score
728
Nimepanda gari namba 1 Dar kwenda Bukoba, namba DFM ni gari iliyochakaa sana nje hadi ndani na hata kupanda mlima ni shughuli. Mbaya zaidi lugha chafu, hawazingatii muda, siti zimechakaa sana na ni chafu.
Mmiliki wa hizi basi kaongeza nauli kutoka elf 60 hadi 65, lakini kwa hali ya gari kama niliyopanda leo bora ulipe elf 60 upande basi za kampuni nyingine.
Hii basi niliyopanda inawezekana kanunua kampuni nyingine na kulipiga rangi lakini asingelipa ruti ya pesa nyingi kama hii.
Nimeambiwa basi namba 2 tu ndio nzuri, nyingine zote ni kubahatisha.

Kwa nini wamiliki wa hii ruti wasiige kwenye kampuni kama ABC, Kimbinyiko, Dar Express nk? Kwa nauli ya elf 65 na umbali wa safari kupakiwa kwenye gari chakavu kama hili sio sawa hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepanda gari namba 1 Dar kwenda Bukoba, namba DFM ni gari iliyochakaa sana nje hadi ndani na hata kupanda mlima ni shughuli. Mbaya zaidi lugha chafu, hawazingatii muda, siti zimechakaa sana na ni chafu.
Mmiliki wa hizi basi kaongeza nauli kutoka elf 60 hadi 65, lakini kwa hali ya gari kama niliyopanda leo bora ulipe elf 60 upande basi za kampuni nyingine.
Hii basi niliyopanda inawezekana kanunua kampuni nyingine na kulipiga rangi lakini asingelipa ruti ya pesa nyingi kama hii.
Nimeambiwa basi namba 2 tu ndio nzuri, nyingine zote ni kubahatisha.

Kwa nini wamiliki wa hii ruti wasiige kwenye kampuni kama ABC, Kimbinyiko, Dar Express nk? Kwa nauli ya elf 65 na umbali wa safari kupakiwa kwenye gari chakavu kama hili sio sawa hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mojawapo ya sehemu chakavu kwa ndani
1546772537652.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepanda gari namba 1 Dar kwenda Bukoba, namba DFM ni gari iliyochakaa sana nje hadi ndani na hata kupanda mlima ni shughuli. Mbaya zaidi lugha chafu, hawazingatii muda, siti zimechakaa sana na ni chafu.
Mmiliki wa hizi basi kaongeza nauli kutoka elf 60 hadi 65, lakini kwa hali ya gari kama niliyopanda leo bora ulipe elf 60 upande basi za kampuni nyingine.
Hii basi niliyopanda inawezekana kanunua kampuni nyingine na kulipiga rangi lakini asingelipa ruti ya pesa nyingi kama hii.
Nimeambiwa basi namba 2 tu ndio nzuri, nyingine zote ni kubahatisha.

Kwa nini wamiliki wa hii ruti wasiige kwenye kampuni kama ABC, Kimbinyiko, Dar Express nk? Kwa nauli ya elf 65 na umbali wa safari kupakiwa kwenye gari chakavu kama hili sio sawa hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Mkuu...kuna mikoa kutokana na changamoto za kutokua na barabara nzuri kipindi cha nyuma bado kwa gari kama hilo inaonekana ni "luxury"

Labda kwa mamlaka husika SUMATRA hawaoni issue kama hizi...au ndio yaleyale ya SSRA ambako walikua wanatetea serikali badala ya watumishi ambao ndio wachangiaji wa mifuko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiwe si kaingiza kitu kipya Airbus A200-300 panda hiyo mkuu uepuke uchakavu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe ni mmoja kati ya watu wehu ambao wanajifunika mwamvuli wa JF.

Hivi unapanda gari bila kulifanyia ukaguzi wewe kama abiria na ukaridhika na gari kabla hujaanza safari!

Mshamba wa wapi wewe.
Mkuu jambo usilolijua ni bora kukaa kimya. Gari za BK kuzipata lazima ukate ticket angalau siku mbili kabla, sasa hiyo gari utaionea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimepanda gari namba 1 Dar kwenda Bukoba, namba DFM ni gari iliyochakaa sana nje hadi ndani na hata kupanda mlima ni shughuli. Mbaya zaidi lugha chafu, hawazingatii muda, siti zimechakaa sana na ni chafu.
Mmiliki wa hizi basi kaongeza nauli kutoka elf 60 hadi 65, lakini kwa hali ya gari kama niliyopanda leo bora ulipe elf 60 upande basi za kampuni nyingine.
Hii basi niliyopanda inawezekana kanunua kampuni nyingine na kulipiga rangi lakini asingelipa ruti ya pesa nyingi kama hii.
Nimeambiwa basi namba 2 tu ndio nzuri, nyingine zote ni kubahatisha.

Kwa nini wamiliki wa hii ruti wasiige kwenye kampuni kama ABC, Kimbinyiko, Dar Express nk? Kwa nauli ya elf 65 na umbali wa safari kupakiwa kwenye gari chakavu kama hili sio sawa hata kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmh pengine hilo basi la Frester ni cha Mtoto . Yapo mabasi ya Kampuni moja inaitwa Osaka Raha , aaaah haya ni balaaa. Kwanza ni ya zamani mengine yana Namba zinazoanza na A na yanakwenda Bkb, Ars na hata Mza.Yaani we acha tu. Ukweli SUMATRA wafanye kuyakagua haya mabasi vinginevyo mmmh. Maana unakata tiketi wakati basi halipo, likijitokeza unaanza kusali kimoyo moyo tu hivi kweli tutafika?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmmmh pengine hilo basi la Frester ni cha Mtoto . Yapo mabasi ya Kampuni moja inaitwa Osaka Raha , aaaah haya ni balaaa. Kwanza ni ya zamani mengine yana Namba zinazoanza na A na yanakwenda Bkb, Ars na hata Mza.Yaani we acha tu. Ukweli SUMATRA wafanye kuyakagua haya mabasi vinginevyo mmmh. Maana unakata tiketi wakati basi halipo, likijitokeza unaanza kusali kimoyo moyo tu hivi kweli tutafika?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa Mkuu hii si haki kwa abiria ukizingatia nauli ni hiyo hiyo hata gari iwe mpya au chakavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka kadhaa nyuma nilipata dharula ya kusafiri kwenda Mbeya kutokea Dar. Nikapata namba ya agent hapo Ubungo, nikamwambia nahitaji siti lakini gari iwe luxury na huduma nzuri. Nilimtumia nauli yangu kwa M-Pesa tena na ya kutolea.

Asubuhi nafika gari ya hovyo, ndani seat zimebana na makelele ya muziki. Nikamwambia hii ndiyo gari niliyokwambia nahitaji. Akajibu kwa kujiamini kwamba ni gari zuri luxury kwa sababu lina siti 2by2. Nikamuuliza kama anajua hata maana ya luxury, hana jibu!

Ilibidi anitafutie gari nyingine! Hapo Ubungo hao agents wanahitaji wapewe semina ya huduma kwa mteja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom