Mimi ni kijana wa Kitanzania, ninatafuta mwanamke mwembamba, mrefu, ili awe mpenzi wangu kwa malengo baadaaye awe mke wangu.
Mimi nimesoma mpaka level ya Master's Degree na nimeajiriwa na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ninaishi Dar es salaam. Kwa aliye tayari karibu PM, sibagui dini wala kabila. Mje warembo wa dini na makabila yooote.
Karibuni sana wapendwa wangu.
Mimi nimesoma mpaka level ya Master's Degree na nimeajiriwa na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ninaishi Dar es salaam. Kwa aliye tayari karibu PM, sibagui dini wala kabila. Mje warembo wa dini na makabila yooote.
Karibuni sana wapendwa wangu.