Recent content by Waminshari

  1. Waminshari

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    These people are a joke. Each and everyone of them. And to think ni viongozi wa dini. Inakuaje askofu akutane na mwanamke bar? Peke yake? Na inakuaje askofu anaongelea matatizo ya ndoa that he was entrusted with? What a joke .
  2. Waminshari

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    At anytime Mungu ni mkubwa. Hajakosea. But sio malumbano. Inaillahi wainailla rajiun
  3. Waminshari

    Kwa nini wasanii wengi wa Tz wanapenda kuimba nyimbo za kulalamika?

    Sidhani ni kwa kila dada anayekuwa hivo....yani money over everything sikatai kwamba wapo....but sidhani kwa mtu mwenye akili yake anaweza akasema leo nikatafute fukara atanipenda zaidi ya yule mwenye hela..itakula kwako...afterall LOVE WONT PAY THOSE BILLS. ni mtazamo wangu and zaidi ni kitu...
  4. Waminshari

    Vijana Watanzania Wenye Mafanikio Makubwa Ughaibuni (Ulaya & Marekani)

    Ama kweli habari za tajiri kamuulize maskini...acha kujizugisha hapo......sasa we itakusaidia nini? au upo mawindoni? hapo ntaelewa....and Hasheem Thabit? MMhhh i hope ame invest...maana contract inaisha and mambo si shwari kikapu
  5. Waminshari

    Mahari na nafasi yake katika ndoa... Je, utamaduni huu umepitwa na wakati?

    Mahari iko negotiable KAMA sijakosea...maana hii ilimtokea mshkaji ila aliishia kutoa posa na kusepa tu.... ..mkaja ni nini kwanza
  6. Waminshari

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    pale kariakoo kuna liwa...ya wahindi...chukua ile..pamoja na manjano.... changanya ile na maji...afu paka usoni kama mask....ulale nayo...inachafua mashuka so inabidi uweke kama khanga kwenye mto.....utaona mabadiliko. be patient lakini...ila inafanya kazi....
  7. Waminshari

    Wabongo na majina ya mbele a.k.a unyamwezini

    wamejipachika tu kuleta al maarufu....! wengine utasikia watu ndo wananiita hivo.... ila mmhhh kila mtu na maisha yake...perhaps wasomi wetu nao waanze kujiita kina jackie-o, michelleo obama, hilry clinton.....hivo hivo..anyway siku inaenda.
  8. Waminshari

    Masikini Wema Sepetu, Kakumbwa na Balaa Jingine tena!!

    hebu naomba link ya hii blog....maana mhh we stori umeielezea vingine kuliko mke wa zamani wa marc anthony wa bongo
  9. Waminshari

    Wanawake LIVE: Mange Kimambi azungumzia maisha yake binafsi, mipango na ndoto ya kuolewa na mzungu

    Nilijua ni mimi peke yangu nilio note hiko kitu....nashukuru. Lakini on another note...ndio nia zao wanazijua wenyewe but at that moment, msaada unafika hivo basi tunashukuru kwa hilo.
  10. Waminshari

    Sugu awapiga mkwara DMX and FABOLOUS..A WORLD OF CAUTION TO DMX & FABOLOUS

    alaaaaah.....asante kwa kunielewesha.....i cant take him seriously as an MP....i just cant....ila hapa naona katoka kama msanii zaidi....i feel like he has multiple personality disorder....hajielewi na wala haeleweki.....
  11. Waminshari

    Magazeti ya Tanzania Hashikiki kwa Kuandika Uwongo

    asante....maana nilidhani ni mimi peke yangu niliyeshtukia hiyo error..... anyway.....................
  12. Waminshari

    Clouds fm wa hack account ya adili ya facebook na kusambaza ujumbe kuwa kajitoa ant virus

    i cant take huyo Sugu seriously as an MP...i just cant....hes always pulling something to turn me off....sijazoea kuona mbunge akitukana ovyo looking for attention.....viongozi wa chama chake wako wapi kumpa mwongozo...tumemchoka
  13. Waminshari

    Diamond ampa kipigo Wema Sepetu amharibu uso kisa sms ya mapenzi

    sio mkorogo....shes always been light skinned...unless alikua anajichubua since primary...afu tatizo letu wabongo ndo hilo tunajifanya tunawajua sana watu kisa tunawasoma..... anyway sasa hiyo pic nayo mwandishi kaitoa wapi? maana it looks like kajipiga mwenyewe......hapa kuna kitu kime...
  14. Waminshari

    CCM Yatudhalilisha Watz USA; Nape Afungua Matawi Mpaka Car Wash!

    Sasa haya ni matusi lazima hatua kali zichukuliwe dhidi ya Nape Nauye kwa kitendo cha kutudhalilisha watz wa hapa Us na huko bongo, eti kaenda Huoston(wabongo kibao) kufungua matawi ya chama tawala(CCM) huku wamarekani wanatushangaa iweje ofisi iwe kwenye car wash? Au vituo vya kulelea wazee? Na...
Back
Top Bottom