Nyundo Kavu
Senior Member
- Dec 6, 2011
- 186
- 85
jlo wa tz v/s jlo wa majuu
jlo wa tz aka sinta....aiseeeee angalia vidole vya miguu..huyu aliwahi kufanya kazi ya kutegua mabomu???
are tehy looking alike?
ha ha ha hapo kweli djfetty kawachana....huyo sinta nakumbuka jina la jenifer lopez lilikuja kupitia magazeti ya udaku...kipindi kile alipokuwa akibadili mabwana kama dalala...akitoka huyu kaingia huyu...na kipind kile jlo wa ukweli naye alikwua na vikashfa kama hivyo..KWAHIYO SINTA AKAONA NA YEYE ALIENDELEZE HILO BILA KUJALI ALIPEWA KATIKA MAZINGIRA GANI....
Kisaikolojia hiyo ni aina flani ya defence mechanism ambapo mtu mwenye low self esteem anajipachika jina au cheo asichokuwa nacho ili tu angalau nafsi yake ifiche yale anayodhani ni mapungufu nyuma ya umaarufu au umahiri wa huyo anayemhusudu.
Tena kuna na blog moja ya mdada pia aliweka hii issue aisee wametukana kishenzi. Hawa mastaa wamepinda hawataki kuelezwa ukweli aliandika hivi