Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Kuna sabuni nzuri naifahamu nafikiri it will help you even if it is very expensive na kuna lotion yake nayo ni nzuri utaipenda nipm nikupe maelekezo
 
punguza vyakula vya mafuta fanya mazoezi safisha uso mara kwa mara na maji ya moto kuyeyusha mafuta yaliyo usoni epuka kijipakaa mafuta ya mgando,kula matunda na mboga za majani kwa wingi.usipata nafuu nakushauri umuone daktari itakuwa ni ugonjwa.
 
@lwamayanga,

Ilikuwa mwaka 2007 nilikuwa nimemsindikiza dada yangu duka mojawapo la s.h.amon dsm kununua dawa zake, tukiwa kaunta hapo aliingia mama mmoja na kumwambia dakatari kuwa dawa aliyompa kwa ajili ya chunusi haikumsaidia sana, daktari yule alimuuliza: ''lakini MAJI unakunywa?'', yule mama akajibu; ''ndiyo nakunywa'', daktari akamuuliza tena; ''kiasi gani?, maana usiseme unakunywa kumbe unakunywa vikombe viwili tu''. Daktari akamwambia atamubadilishia dawa nyingine.

Tulipotoka nje ya duka lile nilimuuliza dada yangu: ''umesikia maneno yale aliyosema daktari kwa yule mama?''. nilimweleza dada yangu kuwa daktari yule alipaswa kumwelekeza yule mama namna ya kunywa maji na chunusi zake zingepotea bila kupenda. Nilimwambia pia dada kuwa mahospitalini mara wanapokupa dawa wanasisitiza unywe na maji mengi ili dawa hiyo wanayokupa isikuchoshe sana. Nadhani hili watu wengi watakiri kuwahi kuambiwa hivyo.

kwa kawaida siku utakapokuwa mahututi na unakimbizwa hospitali na ambulance, njiani madaktari watakutundikia dripu la MAJI/CHUMVI. Muda huo hawatakuandikia tena quinine!!!!. MAJI NI UHAI. bali ukilima bustani utaimwagilia maji asubuhi kabla jua halijawa kali la sivyo mimea itakufa kama utasubiri saa nane mchana jua limewaka ndo umwagilie maji. Hivyo hivyo, tunapaswa kunywa maji kabla ya kusikia kiu.

We kunywa tu maji kwa mujibu wa maelekezo yaliyomo humu: Utangulizi | maajabu ya maji, hayo mafuta na sumu zilizozidi mwilini vitakimbia vyenyewe bila kupenda. kula vyakula vya alkalini zaidi na siyo vyenye asidi.
Unazijuwa kazi za maji mwilini?
 
1. Chukua asali uchanganye na mdalasini ujipake usoni na shingoni uweke kwa muda wa nusu saa na baadae ukoshe kwa maji ya vuguvugu (warm water).
2. Pia unaweza kutumia maziwa yaliyochemshwa na uyatie ndimu/limau na uyaache kwa dakika kumi, kabla ya kulala ujipake usoni shingoni na hata mikononi.
3. Jisugue usoni na shingoni kwa kutumia kipande cha ndimu/limau na baadae changanya maji ya ndimu katika maji ya kawaida unawe uso.
 
Na ingine hii Faida ya Malimau kama Dawa Magonjwa yafuatayo yanatibiwa kwa kutumia malimao kama tiba na kinga:

Matatizo ya tumbo
Kusaga chakula
Tindikali
Kuumwa kichwa
Mafindofindo
Saratani ya damu
Mafua
Dosari ya figo
Kukosa hamu ya chakula
Baridi yabisi
Njia ya haja kubwa
Kupunguza unene uliozidi kipimo
 
ONYO:

Usinywe yote mara 1, tumia pole pole, toka saa 12 – asubuhi mpaka saa 12 – jioni
Usichanganye na kitu chochote
Kama unaweza weka kwenye friji
Ukisahau kutumia siku 1, umeharibu tiba, anza upya. Hii tiba ni ya siku 10, Kama huugui, tumia Kama kinga.

TIBA YA MALIMAO NA KINGA KWA WATOTO

Maji ya limao kijiko kikubwa

ONYO:

Usinywe yote mara 1, tumia pole pole, toka saa 12 – asubuhi mpaka saa 12 – jioni
Usichanganye na kitu chochote
Kama unaweza weka kwenye friji
Ukisahau kutumia siku 1, umeharibu tiba , anza upya. Hii tiba ni ya siku 10, kama huugui, tumia kama kinga
 
Fanya yafuatayo!
1. Kunywa maji mengi kwa siku, not less than 4 litters.
2. Punguza kula vyakula vya mafuta!
3. Kuna kitu kinaitwa olive tree, paka usoni, kwa wiki tu, mambo yatakuwa pooooooowa!
 
pale kariakoo kuna liwa...ya wahindi...chukua ile..pamoja na manjano....
changanya ile na maji...afu paka usoni kama mask....ulale nayo...inachafua mashuka so inabidi uweke kama khanga kwenye mto.....utaona mabadiliko.
be patient lakini...ila inafanya kazi....
 
dawa zipo,isipokuwa bei kubwa.kuna dada namfahamu alikuwa na chunusi nyingi usoni,akatumia cleanser,ni aina 3,ya kujifuta,ya kuoshea uso,na stage ya mwisho unapaka lotion yake.chunusi zilitoka kabisa.haichubui uso,ni nzuri mno.guarantee zinatoka
 
matatio ya chunusi yanawea yakatbia kwa kutumia tiba mbadala kadhaa yifuatao.

unga wa liwa
chukua unga wa liwa changanya na maji kidogo upate mchanganyiko kama uji uji hivi,paka usoni lala nao mpaka asubuhi.
inapofika asubuhi osha uso wako kw kutumia maji baridi fanya hivyo mara kwa mara na utaona mabadliko chanya.all the best...

kitunguu swaumu
kinaaminika kuwa na antbotics zenye uwezo mkubwa sana wa kupambana na aina mbalimbali a magonjwa yanayosababshwa na bacteria.
chukua ktunguu kibichi sugua katka eneo husika very genly fanya hivyo mara kwa mara itasaidia kuondoa tatizo la chunusi na makovu yake.....

kungu manga
chukua kungu manga saga vizuri baada ya kupata unga wake changanya na maziwa ambayo hayakuchemshwa hakikisha inakuwa kama cream/krimu pakaa kwaenye mahali palipoathrika,fanya hivyo mara kwa mara huondo chunusi na makovu yake..............

ute wa yai
wote tutakubaliana kuwa kwenye yai kuna ute fulani hivi wenye rangi kama ya maji hivi uchukue ute huo pasipo
kuchanganya na kiini pakaa usoni lala nao usiku mzima,asubuhi kabla ya kuosha sugua taratibu usoni kwenye ute huo ambao uatakuwa umekauka baada ya hapo osha uso wako kwa maji ya baridi .......fanya mara nyingi kalingana na mahitaji.......likiwa yai la kuku wa kienyeji naamin linafaa zaidi

barafu
chukua barafu pakaa usoni katika maeneeo husika kabla ya kulala,tiba hii inazuia uwezokano wa kuibuka kwa chunusi siku inayofuata.............

no side effects za aina yeyote.......all the best

reference
Mwananchi jumapili,issn 0856 7573 Na 04317,Aprl, 22, 2012 pp 08
 
Vipele (chunusi) Na Ngozi:
Changanya na pasha moto kwa dakika mbili kikombe kimoja cha Habbat-Sawdaa iliyosagwa, ½ (nusu) kikombe cha maganda ya komamanga yaliyosagwa, na ½ (nusu) kikombe cha siki ambayo inatokana na juisi ya tofaha (apple). Paka katika sehemu inayotakiwa kabla ya kwenda kulala kila usiku mpaka vipele (chunusi) vitakapoondoka. Mchanganyiko unaweza kukaa mpaka wiki tatu na ni lazima uwekwe katika hali ya ubaridi.

Au tumia Dawa hii
Chunusi (Acne)
Atachukua unga wa Habbat-Sawdaa aukande katika mafuta ya ufuta (simsimu) pamoja na kijiko cha unga wa ngano. Vyote hivyo atajipaka usoni kuanzia jioni hadi asubuhi, halafu ataosha kwa maji yenye vuguvugu kwa sabuni. Ataendelea kufanya hivyo kwa muda wa wiki moja. Na awe akinywa mafuta ya Habbat-Sawdaa katika kinywaji chochote cha moto.

Dawa hii HABBA SOUDA kwa kiingereza inaitwa (Nigella Sativa seed ) picha hii

Au tumia dawa hii Mafuta au dawa ya kuchua ya Tea-Tree – kuzuia kuvu na kuponya vodonda vya kuchomeka au kukatwa, chunusi, jipu na kuumwa na wadudu.

220px-MelaleucaAlternifoliaEssOil.png


Tea Tree Oil (Melaleuca Oil)
 
Kuondoa Chunusi/Vipele Makalioni.



Watu wengi upata chunusi kwenye makalio. Maeneo ya kawaida kupata chunusi au vipeleni usoni, shingoni, mikono, kifuani, mgongoni na kati kati ya mapaja. Hata hivyo vipelevinaweza kutokea mahali popote. Asilimia themanini ya watu upata chunusi/vipele kwawakati fulani. Wanaume nao upatwa na chunusi ila ni kwa kipindi kifupi lakini wanawakeupata chunusi kwa muda mrefu sana.

Njia bora ya kuondoa chunusi ni kupandana na vitu vinavyosababisha chunusi na kupata matibabu. Sasa tuangalie sababu ya chunusi (ikiwa ni pamoja na chunusi kwenye makalio), na kisha matibabu ya ufanisi zaidi ya kuondoa na kupunguza chunusi. Kwakufuata ushauri huu, utopata chunusi kwenye makalio au mahali popote.



Sababu ya chunusi kwenye makalio.
Hakuna sababu ya uhakika kuhusu sababisho la chunusi kwenye Makalio ya nyuma ambayoimethibitishwa hadi sasa. Wengi wanaamini kwamba uvaaji wa nguo mara kwa maraambao hauruhusu ngozi kupumua inasababisha chunusi kwenye makalio. Inawezekana sababu nyingine ya chunusi kwenye makalio ni pamoja na: Baadhi ya Dawa au Sabuni,kutokuosha mashuka na nguo mara kwa mara, stress, chakula, kutokuweka mwili wako safi na homoni. Chunusi/Vipele zinaweza kuathiri mtu yeyote. Vijana au wazee, mweusiau mweupe, mwanamume au mwanamke, mtu yeyote anaweza kuathirika na Chunusi au Vipele.

Sababu nyingine ni pamoja na:
Umri. Mabadiliko ya Homoni kwa vijana kikawaida yanaweza kusababisha chunusi.
Magonjwa. Magonjwa mengi yanaweza kusababisha mabadiliko ya homoni, ambayousababisha chunusi.
Mabadiliko ya Homoni. Hasa kwa wanawake yanayohusiana na hedhi au ujauzito.
Diet. Kula kwa afya usaidia mwili wako wote. Baadhi ya vyakula vinaweza kusababishaflare-ups ya chunusi, sana sana vyakula vya mafuta.
Usafi Binafsi (Personal hygiene). Kusafisha sehemu moja mara nyingi ni hatari kwani sabuni nyingine ni kali kwa ngozi na zinaweza kukuchubua au kukuletea vipele,na kushikashika au kukuna vipele usababisha ukuaji kuongezeka zaidi. Hii ni sababu kuumojawapo ya kupata vipele matakoni .
Mazingira. Hali ya hewa, uchafu, na jasho usababisha vipele katika ngozi yako.
Stress. Stress inaweza kusababisha matatizo mengi ikiwa ni pamoja na chunusi.
Kutumbua/kubinya Chunusi. Hii itafanya ngozi yako kuwa na uwezekano wakuendeleza zaidi vipele/chunusi na inaweza kusababisha madoa au makovu.

Kwa kwa kuepuka kufanya vitu vinavyosababisha uongezeko wa chunusi, basi vipele vitaacha kuongezeka kwa asilimia kadhaa kwa kufanya hayo na kwa kutumia matibabuunaweza kupunguza au kuondoa chunusi kwenye Makalio nyuma na pia chunusi katika maeneomengine ya mwili wako.

Matibabu fanisi zaidi ya chunusi kwenye makalio ni kufuata hatua mbili zifuatazo:
Hatua ya Kwanza.
Hatua ya kwanza ni kuosha kwa taratibu na kusafisha eneo lililoathirika mara kadhaa kwa siku. Ni muhimu kuosha na cleanser iliyo bora zaidi. Imeonyesha kuwa cleanser bora na nzuri yafaa iwe na vitu muhimu vifuatavyo:
Lappa Arctium: utumika kwa ajili ya matibabu ya ngozi yenye vipele au chunusi sugu.
Bulbine Frutescence: usaidia kuzuia maambukizi ya ngozi, uponyaji wa chunusi na matatizo mengine ya ngozi. Pia kulinda ngozi zaidi ya bakteria.
Lavender Essential Oil: Lavender utumika kutibu vidonda na kuzuia makovu. Ni inajulikana kwa ajili ya kutibu chunusi kwenye makalio.
Azadirachta Indica: utumika kwa ajili ya kupambana na bakteria pamoja na kupambana na uchochezi.
Melaleuca Alternifolia (Tee Tree Oil): Utafiti umeonyesha kuwa inauponyaji wa kipee kutokana na kupambana na bakteria, vimelea na Septic. Ni moja ya mafuta ya kipekee ambayo yanaweza kutumika bila kukuretea muwasho au kukausha ngozi yako.
Napendekeza kwa wasomaji wangu wote ili kuwa na mafanikio mazuri katika ngozi yako, jaribu kutumia CleanSkin Wash .Kutumia hii cleanser ni dhahiri itakusaidia kuondoa chunusi katika makalio na mahali popote.

Hatua ya Pili.
Hatua ya pili ni kwa kutumia tiba ya chunusi au vipele mara kadhaa kwa siku. Utafiti umeonyesha kuwa dawa ya chunusu iwe na vitu muhimu vifuatavyo:
Oleum Melaleuca: Utafiti umethibitisha kwamba upambana na microorganismsambao usababisha maambukizi ya ngozi kama vile chunusi.
Lavandula Oleum: ni maalumu kwa ajili ya uponyaji na imekuwa ikitumika kwa karnekuponya na kuzuia makovu na kutibu vidonda.
Calendula officinalis: ni mitishamba ambayo ina nguvu ya kutuliza, pia ni antisepticna ni anti-inflammatory na upambana na uchochezi wa chunusi na uponyaji wa ugonjwa wa ngozi.
Symphytum: utumiwa kwa uponyaji na kwa ajili ya cell regeneration, ni muhimu kwa ajili ya kutibu makovu na ugonjwa wowote wa ngozi.
Pia ziwe na Chlorocresol B.P au Gentamicin Sulphate na nyinginezo.
Hakuna sababu ya kuwa na chunusi kwenye makalio. Kama unataka kuondoa chunusi,fuata maelezo na unahitaji kupata matibabu.

Matibabu ya Chunusi/Vipele.
Kuna maelfu ya dawa zinapatikana lakini inachukua muda kupata matokeo na ni muhimukupata matibabu bora kwa mara moja na si kupoteza muda na fedha kwa kujaribumatibabu tofauti.
Matibabu haya ni bora kwa chunusi popote kwenye mwili wako. Kwa sababu ufanya kazi kwa kasi na pia uondoa madoa, na hakuna madhara hatari upande wa dawa kamaBENZOYL PEROXIDE.Na
pia unywaji wa maji ni muhimu sana kwa ngozi yako, jitahidi kunywa angalau glass 8 za maji kila siku..
Dawa Nyingine ni:
SONADERM-GM,

GENTRISONE cream,
OXY 10 Acne Lotion.
OXY 10 Acne Pimple Medication.
ELYCORT.
ClearSkin-A Gel.
Retin A. Picha bonyeza hapaVile Nataka: Kuondoa Chunusi/Vipele Matakoni.
 
Habari za kazi wanajamii!
Bila shaka kazi zinakwenda vema kama zilizyopangwa na pale ambapo hazijakwenda vema tusiwe na shaka ni mojawapo tu ya changamoto katika maisha na hatuna budi kuyapokea yote kwa wakati mmoja na kufanyia kazi.

Hiyo ilikuwa ni salamu tu na baada ya hapo nataka niwape mbinu ya namna ya kupambana na maradhi ikiwepo maradhi ya ngozi ambayo hufanya ngozi kupoteza mwonekano wake mzuri wakati mwingine. Tumekuwa tukitumia njia nyingi kupambana na tatizo la ngozi wakati mwingine bila kufahamu kama njia ni sahihi au laa. Hapa chini kuna maelezo mazuri ya namna ya kupambana na tatizo la afya kwa upande huo na kuifanya ngozi yako ionekane nyororo na yenye mvuto. Fuatilia hizi bidhaa muhimu kwa makini ili uweze kuupata uelewa pia kumwelewesha na mwingine.

MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;

  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum
Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;

  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid
Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ****** na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.

  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM

  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo

CORDY ROYAL JELLY

Bidhaa hii imetokana na mmea wa cordy ceps sinensis na Royal jelly.
Royal jelly – Inatokana na chakula maalum cha malkia wa nyuki.
FAIDA ZA CORDY ROYAL JELLY

  • Ina vitamin A,B,C,D,E na K ni chakula kilichokamilika.
  • Inaondoa cholesterol
  • Inaimarisha mfumo wa damu mwilini.
  • Ina faty Acid
  • Inaongeza nguvu na kutoa uchovu na kutoa sumu mwilini
  • Inakufanya usizeeke haraka(anti aging)
  • Kulainisha ngozi na kufanya ngozi kuwa nzuri
  • Inafanya damu kuwa nyepesi
  • Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
  • Kuweka kiwango cha mafuta na cholesterol sawa.
  • Mafuta yaliyoganda kuzunguka moyo na kwenye mishipa ya damu huyeyusha na kulainisha mishipa ya damu.

REISHI

Bidhaa hii inatokana na uyoga mwekundu unaotoka Asia ya mashariki, China, Japan. Uyoga(Ganoderma licidum) unaaminika sana Asia ya mashariki kuwa ni mmea ambao unawapa urefu wa maisha.

FAIDA YA REISHI

  • Kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
  • Inapunguza kasi ya kuzeeka
  • Inaimarisha utendaji kazi wa moyo
  • Inaondoa uchovu mwilini
  • Inaimarisha ubongo,kumbukumbu na usikivu
  • Inatibu presha ya kushuka
  • Inatibu vidonda vya tumbo
  • Inatibu pumu, allegy
  • Inasaidia kupunguza msongo wa mawazo na kukupa usingizi mzuri
  • Inapambana na maambukizi ya bacteria na fungus
  • Inasaidia mwili kujikinga na kansa
  • Inatibu matatizo ya candida

Hizo products ni muhimu sana kwa ajili ya afya ya ngozi. Kwa yeyote mwenye swali au kutaka ushauri anaweza kunipigia kwa namba 0776491294 pia anaweza kunitumia barua pepe kupitia ishealthy@hotmail.com
Atakayekuwa anahitaji gharama ya MAGILIM ni 62500/- , CORDY ROYAL JELLY ni 60000/- na REISHI ni 85000/- tu
 

Attachments

  • CORDY ROYAL JELLY.jpg
    CORDY ROYAL JELLY.jpg
    15.7 KB · Views: 219
  • REISHI.jpg
    REISHI.jpg
    16.2 KB · Views: 221
hujatuambia wewe kuwa ni mwanamke au Mwanamme?.@trick Pole sana kwa kwa usumbufu ulio nao na kwa hisani yako jaribu kila mara kinywa chako uwe unatafuna kitu kama hiliki,ubani vizuri inasaidia kukata harufu ya mdomo na usifikirie wewe tu wapo wengi sana na jaribu hii


Dawa ingine ya kutibu mdomo kunuka Utafune Tangawizi kila siku asubuhi mchana na jioni muda wa mwezi. Inshaallah atapona.

Na nenda hospitali kapime Sukari huenda una matatizo ya sukari mwilini mwako.


Chunusi:
Chukua unga wa habbasouda ukande katika mafuta ya ufuta (simsim) pamoja na kijiko kimoja cha unga wa ngano, jipake usoni kuanzia jioni hadi asubuhi, halafu osha kwa maji yenye uvuguvugu na sabuni. Endelea kufanya hivo kwa muda wa wiki moja. Na uwe unakunywa mafuta ya habbasouda ndaani ya kinywaji chochote kimoto.
 
Hahahahah!
Pole Sana mkuu(nacheka Kwa Sababu Tiba Imepatikana!

TIBA YA KUNUKA MDOMO, KWAPA, SEHEMU ZA SIRI N.K
saga punje ya 32 Ya Vitunguu Saumu(kienyeji)
Weka asali Vijiko Vinne
Weka Mdalasini Uliosagwa vijiko viwili
Bugia Mchanganyiko Wako Na Ukae Mdomo Angalau Dk 2 Kabla Ya Kuumeza

Tiba Hii Unaitumia Wakati Wa Kwenda Kulala
Ila Kesho yake Asubuhi Andaa Juice Ya Limao/ndimu vijiko kumi Vya Chakula Baada Ya Hapo Piga Mswaki

Tiba Hiyo Inakata Harufu Sehemu Yoyote Ya Mwili Wako, Ila Harufu Ya Kitunguu Saumu Itaendelea Kuwepo Takribani Siku 3 Hivyo Husistuke Kwa Hilo, Tiba Ni Mara Moja Labda Ukiamua Wewe mwenyewe Kuirudia

Ahsante Mkuu Mengine DR.MZIZIMKAVU Kamaliza Hapo Juu
 
Kijiko cha chai kimoja -- Juice ya mbatata
nusu kijiko cha chai -- Unga wa Lozi
robo kijiko cha chai -- Manjano

Changanya vitu vyote pamoja kisha pakaa kwenye vipele vyeusi (usipake uso mzima kwenye vipele tu). Iwache kwa muda wa nusu saa au hata unaweza kulala nayo. Pakaa kila siku kwa muda wa wiki mbili. Baadae utapaka kwa wiki mara mbili mpaka uone umeondoka weusiutasimama jaribu kisha unipe feedback.@Mongolandege


MATIBABU MBADALA
Haya hujumuisha lishe bora na usafi wa mwili.Ni vema kuoga mara kwa mara na kujifuta maji kwa taulo safi na kuiweka ngozi katika hali ya ukavu nakuepuka upakaji wa mafuta mengi ya mgando hasa wakati wa joto.
Watu wenye chunusi wanashauriwa kula mlo kamili wenye vyakula vyenye madini ya zinki,nyuzinyuzi,matunda , mboga za majani,vitamin B complex na Chromium. Ni vema kuepuka au kupunguza matumizi ya pombe,vyakula vya maziwa,tumbaku,sukari,vyakula vilivyoandaliwa viwandani na vyakula vyenye Iodine nyingi kama vile chumvi
 
Hi Mzizi Unga wa lozi unapatikanaje?

halafu naomba kuuliza hivi kupaka mafuta ya Olive oil kwenye kidonda ni sawa. Kuna ndugu yangu mmoja amepata ajali ya pikipiki Tunashukuru Mungu hakuvunjika ila aliumia sana kwenye mguu wa kushoto kidonda na mguu ulivimba sana. Hawakumshona walipata dawa za kutumia (sizijui) hivi sasa kidonda kinafunga na mavilio ya damu yamepungua ingawa bado hajaweza kutembea wala kuukunja mguu na uvimbe wa mguu sio mkubwa sana.

Sasa kuelekea kupona unajua kidonda kinakauka na kuwasha sana ndio niliimshauri kutumia Olive oil kwa kumasaji kidogokigo na kulainisha hicho kidonda. Je niko sawa? nisije nikaharibu tiba, na olive ipi ni nzuri? Asante Tafadhali. na samahani mwenye mada kwa kuingilia.
Mkuu Rubi Unanunuwa Lozi (Almond) unaitwanga inakuwa unga unatumia kwa matumizi yako................
almonds.jpg

Lozi au kwa kiingereza almond.

almond-powder.jpg


Unga wa lozi Almond Powder.

almond-flour1.jpg
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 23,
toka nikiwa kidato cha kwanza mpk sasa kidato cha sita nimekua na tatizo la kutokewa na chunusi hizo kubwakubwa na zimekua zikiniachia madoamadoa uson ,na kila ninapojarb kuzitib zinapotea zen baada ya mda zinarud tena kwa kasi...ndg zangu na0mba msaada kwa anaefahamu tiba...
Aksanteni
Zinarudi rudi kwa sababu huna girl friend. Tafuta mdada wa kukandamiza ili Upunguze hizo stress
 
Back
Top Bottom