Kizimkazimkuu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2007
- 337
- 234
...Greater thinker umechemka mbaya...'kidhungu' sio ishu wachina na hi ho ha wanawapiga bao waswahili weusi kama mkaa na kiswahili chenu hap kariakoo....wadosi longtime kitambo, 'chori chori' wanakula bata hapa hapa bongo....sisi lugha yetu ni kiswahili na ndio lugha pengine aliyotumia kuombea kura. Rudi tena tafuta angle nyingine umrushie tena madongocheki kidhungu cha mbunge hcho..hata mtoto wa form I ataongea kingereza kzur kuliko yeye