Ukifanikiwa kukutana na yeyote aliyejiunga na jamii zinazoamini katika upande huo wa Giza, ni maajabu makubwa sana. Kuna mmoja alitoa ushuhuda wa kulishwa kichanga na anasema ki kitamu mno mfano wa Chocolate. Na hajawahi kula chocolate tamu kiasi hicho tangu azaliwe. Dunia imejaa mauzauza.
Mheshimiwa ni Senior Resident Magistrate. Kwa kiswahili ni Hakimu Mkazi Mwandamizi. Inatia shaka sana.
Amenikumbusha mwenzie mmoja kwenye hukumu aliandika "A DAUGHTER OF A COW" akimaanisha ndama jike. Tasnia kama hizi za kushughulika na jamii, ni vema tukajipima wenyewe kwanza. Huku ni kuumbuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.