Wewe Amu umeanza kutikisa zegembe tena?Brighton,shakoor wote wafanyakazi wa shigongo..
Paloma mamaaa shemeji naleta mashitakaaa sielewi lengo la nduguyoooohh,vibaya aa saanaa maamaa,.,.,.,.,.,.,........,.,.,.,.,jamaaani !!!! yangu tangu mroning nasomaga tuu hii hadithi! MziziMkavu ..............lohivi Risasi ni la shigongo?
Ulisikiaje lakini mamii.yani ananirusha roho hapa nna kazi ya kuizuia isitoke! MziziMkavu nihurumie jamani mie na amu huku tunawewesekaje...........


