kumiminika kwa wingi ktk kiwanja lengo ni kusikiliza sera za chama na wingi wa watu haumaanishi chama hicho kinapendwa. Mwisho wa haya majigambo ya vyama vyote vya siasa ni kwenye uchaguzi.
hali ya leo na ile ya chadema inaonesha jinsi gani wananchi wameamka ktk kujenga mustakabali wa nchi
wakati mwingine muwe mnaangalia content ya issue anayoiongelea na si kushika neno moja na kulikuza wakati maana nzima ya speech umeiacha.
yeye kazungumzia kama watuhumiwa wengine na hajawaita waislam majambazi
kumbe inawezekana kesi kuendeshwa kwa wakat muafaka bila ucheleweshaj usio na mantik. Nafurah kes za uchaguz zimeisha kwa wakat muafaka kama maagizo ya serikali yatakavyo. Sasa ni kwanin kesi zingne zinacheleweshwa bila sababu za msing, embu watafsiri sheria kuwen serious...
suluhisho si kuvunja bunge, kinachotakiwa ni kuwaadabisha wanaohusika ili wengine wapate somo.
At the end we need:
"The government which is committed to greater accountability in the delivery of services to the people, and such government is committed to similar transparency in the use of the...
suala la uwajibikaji linaanzia kwa yule anayetuhumiwa kujiondoa mwenyewe katika uongozi, thereafter akishindwa kujiondoa mwenyewe basi mkubwa wake ana mamlaka ya kumsimamisha kwa manufaa ya umma.
Lakini jambo linapokuwa linagusa maslahi ya nchi kwa mapana zaidi basi hata huyo mkubwa anatakiwa...
mh. zitto katumia haki yake ya msingi kama mbunge na anaonesha ni aina gani ya wabunge tunaowahitaji wawepo bungeni. hii ndio demokrasia ya kweli kwa kuibua uozo ndani ya serikali na huo ndo uwajibikaji wa mwakilishi wa wananchi.
tufikie wakati mtu anapotoa facts za kujenga ustawi na uwajibikaji tumkubali
kila mtu ana mapungufu ila cha msingi tuchukue yale yaliyo mazuri na jamaa kasema fresh sana leo
suala si kuanguka kwa ccm, hapa tunaangalia ustawi wa taifa letu. kelele zote huko bungeni ziwe na tija kwa maslahi ya taifa na kweli tuone utekelezaji wake
napata kigugumizi kwa kulaumu waliofanya kampeni arumeru kuwa chanzo cha kuanguka kwa ccm, anguko la ccm huko arumeru ni la wote wanaccm kwa namna chama chao kilivokosa muelekeo, mtizamo na muonekano mbele ya wananchi. wana tofauti nyingi wao kwa wao na kunakosa chain of command baina ya...
maana ya demokrasia si kuuana na utakuwa wa ajabu sana kufanya unyama huo..... chakufanya baada ya kupata dola unaionesha nchi mabadiliko ya kweli na kuwapa wananchi yale waliyokuwa wanayahitaji ili nao waone donge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.