Mheshimiwa,
Nimekuona physically na kwenye TV ukikemea ubadhirifu katika halmashauri zetu. Umezungumza kwa ukali na kuguswa na matatizo mara zote.
Kote ulikopita hakuna mabadiliko, majengo uliyoyakataa bado hayajashughulikiwa na pia wezi wa halmashauri wakiwa bado wanaranda.
Kama ukweli uliyokuwa unasema na kufanya yanatoka moyoni naomba uwe wa kwanza kujiuzulu.
Naamini utarudi bungeni kwa heshima kubwa na wote tutakuwa nyuma yako.
Nimekuona physically na kwenye TV ukikemea ubadhirifu katika halmashauri zetu. Umezungumza kwa ukali na kuguswa na matatizo mara zote.
Kote ulikopita hakuna mabadiliko, majengo uliyoyakataa bado hayajashughulikiwa na pia wezi wa halmashauri wakiwa bado wanaranda.
Kama ukweli uliyokuwa unasema na kufanya yanatoka moyoni naomba uwe wa kwanza kujiuzulu.
Naamini utarudi bungeni kwa heshima kubwa na wote tutakuwa nyuma yako.