Lusinde ndani ya TB-CCM

Lusinde ndani ya TB-CCM

Mmmh nimempigia simu mke wangu nyumbani awatoe watoto sebleni au asiweke TBC mpaka ili kunusuru familia yangu na lugha chafu akimaliza mniambie wanangu warudi sebleni.

heh! kwani leo hawajaenda shule au wamefunga?
 
Naona JF inawakosesha usingizi!! Kumbe hata huyo naye huwa anapita humu??
 
anasema kua kama waziri yuko siriaz na kazi hawezi kushinda face book na jamii forums!

Huyu kichaa lusinde kakosa cha kuongea, kwa nn anarukia mitandao ya wasomi kama fb na jf, yy inamhusu nn? na huko tbc anaongea nn zaidi ya bla bla tu, k.o.r.o.da.n.i za mkewe....
 
binadamu tumetofautiana sana, kuna wengine ambao wakighafilika basi wao midomoni matusi, kashfa na kejeli humtoka. Mtu huyu unapomkuta akiwa normal yaani hajahamalika basi huwa anaonekana mwenye busara na mwenye kuongea kwa umakini wa hali ya juu. Mtu kama huyu ni hatari sana kwani muda wowote akitibuliwa basi anabadilika na kuvaa gia ileile ya matusi.

ushauri wangu kwa mwendesha kipindi asimpige maswali yatakayo amsha nyongo yake akajikuta badala ya kupata mawazo akapata matusi.
 
tufikie wakati mtu anapotoa facts za kujenga ustawi na uwajibikaji tumkubali
kila mtu ana mapungufu ila cha msingi tuchukue yale yaliyo mazuri na jamaa kasema fresh sana leo
 
kichaa akitoka mirembe hata kama kapona jamii inamchukulia kwa tahadhari kubwa.
huyu jamaa hata atuambie nini hatuwezi kumwamini tena,abadilike afanye kazi aliyotumwa na wagogo wa mtera ila akae akijua tunamwangalia kwa jicho la tahadhari.
 
Lusinde amebadilika bana, inaonesha ameishasoma alama za nyakati vizuri. Anasema haiwezekani mtoto amekosa dawati na kukaa chini miaka 7 akitegemea atakutana na dawati sekondari lakini anakuta hali hiyohiyo huku fedha za madawati zinaliwa na wajanja. Pia amewalipua wanaopeana ajira kindugu baba alikuwa kiongozi anataka na mwanye awe kiongozi...

MY TAKE: Huyu jamaa ameanza kujirekebisha, Le Mutuz hata Mtera kuipata itakuwa ngumu kwa kweli

Ccm kujisafisha kwa kumtumia Job Lusinde ni sawa na kujisafisha kwa maji ya mkojo na kinyesi.
 
Huyu LL ni mpuuzi tu hana jipya. Anafikiri ni Tanzania ya Kusubiri habari za RTD zilizochakachuliwa. Siku hizi tunapata vitu Live toka familia saaaaaaaaafi za JF na FB nk. Ma-Kudadadeki wote lazima wang'oke wapende wasipende. Tena nashauri CDM waanze mkakati wa kulinda mipaka ikiwezekana tujenge fensi kuzunguka nchi nzima nahisi wanaweza wakatoroka tukashtukia nchi imebakia kasha tupu chini ya chadema. Maana jana walianza kusalitiana wao kwa wao bungeni utadhani wezi waliodhulumiana wakati wa kugawana walichoiba. Wakitoka tu tunawadaka. Nassari alisema "Kamata mwizi men"
 
[SIZE=3 said:
mnakuja mnadanganywa hapa eti ooh chadema, sijui ooh nasari ataleta ajira na soko, ajira atazitoa wapi? Watu hawana shukrani anasimama hapa dk slaa anatukana ccm, hawajafanya kitu, hawajafanya kitu, shule alizosoma yeye zimejengwa na baba yake? shule zimejengwa na serikali ya chama cha mapinduzi, watu wanajiita wamesoma chuo kikuu (chuo hicho) kimejengwa na serikali ya chama cha mapinduzi, nionesheni hapa hata chuo walichojenga CDM. . . hakunaaa![/SIZE])

MKUU HAPO KWENYE RED HAKUSEMA CHUO ALISEMA CHOO!-- Hapo ndo aliua kabisaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
duuuuuuuuuuuuu Lucinde anachefua mnooooooooo>>>>>>>


 
Back
Top Bottom