Recent content by wacojaco

  1. W

    Chondechonde: Msioe Wanawake waliojichubua na Wanaovaa Mawigi, Mtajuta..!

    Aisee mimi siafiki iki kipimo chako. I think mawigi na make up ni vitu minor sana.
  2. W

    Ndege ya bilioni mbili na uongo wa kueneza injili

    Uvute bangi wewe alafu vituo vya sober ajenge gwajima. Kama unamaona ya kujenga huduma za jamii tafuta gela zako ufanye wewe. Mbona husemi kuhusu umeme anaouleta? Gwajima ni binadam, sio yesu kwamba alishe watu 5000. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. W

    Kwa matokeo haya naweza kusoma sheria?

    Ukiwa na ufaulu wa D nne kw masomo yoyote unavigezo vya kusoma certificate one year, then diploma two years ktk chuo chochote upendacho. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. W

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Pa1 Sent using Jamii Forums mobile app
  5. W

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Pa1 Sent using Jamii Forums mobile app
  6. W

    Msaada wa kuorodheshewa sheria zinazochochea uhuru wa mchakoto wa katiba mpya nch yoyote..

    i mean any laws#that promote the independence of constitutional review process.
  7. W

    Msaada wa kuorodheshewa sheria zinazochochea uhuru wa mchakoto wa katiba mpya nch yoyote..

    Napenda kuwashirikisha wanajamiiforum wenzangu katika tafiti yangu inayohusu "uhuru wa mchakato wa katiba mpya dhidi ya mihimili ya kiserikali" #nahitaji sheria yoyote tokea nchi yoyote, iwe constitution articles, or any section from constituence assembly act, constitutional review act, or...
  8. W

    Msaada wa sheria haraka jamani

    Pia ushauri wa aliyesema umuone mwanasheria direct ni mzur.
  9. W

    Msaada wa sheria haraka jamani

    Masuala ya kuuziana ardhi huongozwa na kanuni iitwayo "Buyer be awere" yaani mnunuzi ni LAZIMA kujiridhisha uhalali wa mmiliki wa kiwanja n.k km wew ndiye uliuziwa wa kwanz kwa mmiliki halali na kwa mkataba wa kimaandishi na mashahidi. Waweza omba order ya mahakama kustopisha uo ujenzi then...
  10. W

    Hivi Kuna sheria yoyote ya kugawana mali za mwanamke?

    Mkuu anachokisema ni sahihi. Ndoa isipotambulika kisheria (kwa mujib wa sheria) hamna division of matrimonial propert. Hususan chini ya islamic law hata watoto hawana chake. Pia mali zote zinazopatikana wakati wa uhai wa ndoa is what we call matrimonial propert, na ni halali ya wanandoa na...
  11. W

    Fursa za biashara kwa kila mkoa hapa nchini

    Kusini maeneo mazuri ni tunduma (songwe), uyole mbeye (viaz, mchele, mbao, ndizi n.k) Tunduma biashara za mavazi, dagaa na mazao, vitenge, sukari na vilevi ni mpango wa mjini. Pia kupanda kwa kwacha ya zambia na muingiliano wa wazambia na tunduma pia ni moja ya advantage ya tunduma. Ikumbukwe...
  12. W

    INAUZWA Hp for sale

    Mkuu biashara 2000 zimefungwa, kwa bei hiyo hata hiyo biashara yako ya hp itakuwa ya 2001 kufungwa.
  13. W

    DR. W. Slaa: A sensational keynote Speech at Purdue University, Indiana State, USA

    we africans, indeed tanzanians. its the tym for us to use our golden conscious so as to recognise the real activists, who have burnning desire for pulling us out of social, politica and economic hardship we experience today, and surender our votes to them before GODS HARVEST TAKE PLACE. may god...
Back
Top Bottom