Kama ni mafua ya muda mrefu na hayaponi Basi jaribu kumpeleka hospitali yawezekana anasumbuliwa na nyama za puani,..kwa sasa inasumbua Sana watoto wengi...
Ni kweli vibali imekuwa ishu...halmashauri ya jiji la mwanza naona wanaongoza kwa usumbufu,ukifika wanakuandalia mazingira ya rushwa,nimekata tamaa sasa nimeamua nitajenga bila kibali chochote.
Fanya hivi ndugu...tafuta mtu anaefuga kuku WA mayai kwa wingi halafu muombe akuuzie bei ya jumla..huku nilipo mm Ni 5000 bei ya jumla halafu WW tafuta wateja wa chips wauzie 6500 sabab maduka mengi wanauza 7000 hiyo itakuwa imekupa WW competitive advantage...kwahiyo bas utaanza na tray 10...
umemjibu vyema mm mwenyewe saivi nipo mwanza sehem chache sana mwanza ucku ndio pamechangamka ila asilimia kubwa ya watu ni washamba saaaana halaf j pili siku ambayo mtu ndio una mda wa kutembea town na kufanya manunuz karib maduka yote yamefungwa...tuache utan arusha pamechangamka hata kama...
umemjibu vyema mm mwenyewe saivi nipo mwanza sehem chache sana mwanza ucku ndio pamechangamka ila asilimia kubwa ya watu ni washamba saaaana halaf j pili siku ambayo mtu ndio una mda wa kutembea town na kufanya manunuz karib maduka yote yamefungwa...tuache utan arusha pamechangamka hata kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.