barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Natamani ningekuwa na uwezo nikachonge wangu na kumuwekea tabia nitakazo. 1.Uzuri na 2. tabia lazima, viwepo.
... hongereni wale ambao mmeoa wake zenu mnaowakubali,hadi mnajiskia raha kiwango cha kudharau kabisa michepuko.
watu wa "neema za ...." sisi
Jinsia yako?
Mi huwa najaribu kutafuta mchumba mwenye vigezo vyote ninavyopenda lakini nafikiri ni swala gumu zaidi..
kwani kila utayempata utakuta kapungukiwa.Kikubwa ni kuhangaika na vigezo vya msingi kama vile tabia njema..
Lamsingi anipende mm na ndugu zangu
Consider this letters for a good wife.
A. Appearance
B.Body structure.
C.Character.
D.Discipline.
E.Education. and
F.Fashion
Hizi zote ni mbwembwe tu. Sifa kuu ni ile iliyoelezewa kwenye vitabu vitakatifu,' mwanamke ambaye hajamjua mwanaume'' BIKRA. Hiyo ndio sifa kuu na yenye Heshima na huambatana na Baraka za mungu. Mwanamke huyu ataiheshimu ndoa yake daima na mwanaume atampenda tu mke wa namna hii. Hawa wengine walioshindwa kujitunza huwa sio rahisi hata kuitunza na kuiheshimu ndoa. Ikitokea basi ni kwa neema tu za mungu.Consider this letters for a good wife.
A. Appearance
B.Body structure.
C.Character.
D.Discipline.
E.Education. and
F.Fashion
[FONT=times new
roman]Watu wengi wanapotaka kuoa huwa wanatoa kipaumbele kikubwa
kwenye tabia ya yule anaetaka kumuoa, hata kama yeye hana tabia nzuri,
hilo huwa muoaji hajali kabisa, lakini katika research yangu yaki-layman
nimegundua kuwa uzuri wa unaetaka kumuoa lazima uzingatiwe, sio lazima
awe mzuri hadi anaharibu tension za watu, laa!!!!ila kwa kifupi awe ni
mtu ambae roho imeridhia na anakidhi haja zako.
Kama wewe unapenda wanawake wenye maumbile fulani au shepu fulani au
rangi fulani, basi hakikisha unaoa mwanamke mwenye sampuli hiyo maana
kama uta li-ignore jambo hilo basi hutaacha kuruba ruba kwenye ma BAR,
na kwingineko kwa ajili ya michepuko, ingawa suala la michepuko ni hulka
ya mtu lakini kuna asilimia fulani za watu hawatulii kwa sababu wake
zao hawana mvuto na waliwaoa kwa sababu ya tabia zao nzuri.
Naomba nitoe pole kwa wale wote walio oa wanawake ambao nafsi zao
haziwakubali hadi inafikia wakati kuongozana nae kwenye harusi au shereh
unaogopa ogopa pia hongereni wale ambao mmeoa wake zenu
mnaowakubali,hadi mnajiskia raha kiwango cha kudharau kabisa michepuko.
[/FONT]
Aisee...good night siafu j...We na maini tu bado na mafigo!!mimi bana vitu viwili mwanamke ajiamini na awe na maini ya kutosha(neema za... )
Aise siafu jike...gd nt bana..si unajua tena mm mzee wa maini bana..ila wewe ...........umbali tu unazinguaAisee...good night siafu j...We na maini tu bado na mafigo!!
A. ageConsider this letters for a good wife.
A. Appearance
B.Body structure.
C.Character.
D.Discipline.
E.Education. and
F.Fashion
Mathalani umeoa mzuri na
baada ya miaka kadhaa akabadilika sura na umbo may be ajai au umama
tu..utafanyaje?utachepuka?
mimi nawaambia hivi uzuri unanunulika.watunzeni wake zenu.Usione vyaelea
Mathalani umeoa mzuri na
baada ya miaka kadhaa akabadilika sura na umbo may be ajai au umama
tu..utafanyaje?utachepuka?
mimi nawaambia hivi uzuri unanunulika.watunzeni wake zenu.Usione vyaelea