Hata kabla sijamaliza nlielewa unaelekea wapi mbona ipo ki ushabiki sana haya ingempata mmoja ya viongozi Wa chadema pia ungesema mbowe kahusika asee hii nchii hii mazuzu mengi haya na yule jamaa Wa UDSM walo Sema ni jambazi asiyekua na siraha nini kipo nyuma ya pazia
Jamani eti bila maandamano mauaji yasingetokea au bila Polisi kutumia risasi za moto mauaji yasingetokea kwani my friend aqulina alikua kwenye maandamano, u can't be serious embu sku nyingine fikiria vizuri ndo uandike. Mungu tuongoze
Sheikh unazingua "anakua kama hajasoma dini bana kisa cha ummar kutukanwa huku mtume anacheka...... mafundisho tulopewa nkukaa kimya haijalishiii mtu anaongea nini kukaa kwako kimya Allah anakufanyia uwepesi....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.