. Heko Tundu Lisu, Freeman Mbowe, G. Lema, John Mnyika, Zitto, Kafulila, Halima Mdee. Waliofanya madudu Bungeni Ni Mh. Steven Wasira alikuwa analala usingizi Bungeni, Rwakatare Pinda, kwa ujumla Wabunge wote wa CCM wamefanya hovyo Kazi Yao ilikuwa kuzomea na kuchekacheka hoja ikiwa inawagusa sana.