Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,766
kinachowaua warangi ni ile division ya udini inayopandwa na wachache.... imefikia hatua hata kama unapita tu kwennda babati au hata kiteto unaweza kuulizwa dini, ole wako useme mkristu
watakuacha hapohapo hata kama umepata matatizo
ukitaka kujua udini na ukabila ni kitu gani nenda kondoa mkuu.. hawa watu hata wasome vipi haya mambo hawaachi + unafiki
MTM kwenye orodha yako umesahau ushirikina.
Btw: mbunge wao ni nani tena?
ushirikina hapo mkuu wakubwa wako wa nchi ndio wanapozindikwa, huwa wanatunga ziara za huko kwakutumia helicopter hahahaaaa nakumbuka mkulu aliyepita alitua pale nakupikwa vilivyo na wazee wa pilau ambapo mmoja alikuja kuwa mkuu wa baraza la pilau tz