Hotuba ya upinzani kuhusu mpango wa taifa wa maendeleo wa miaka 5

Nakerwa na watu kuhama key kila siku tumeshamjua FF ni mtu wa aina gani kwani tuendelee kujibishana naye dawa ni kumkalia kimya anachofanya ni kututoa ktk hoja ya msingi ili tuache kuona uozo wa ccm na serikali yake. Turudi kwenye mada na tumdharau FF na hoja zake za kutupotezea muda.
 
Hapo ndipo huwa najiuliza umakini wa hawa wawakilishi wa cdm bungeni na upotoshaji wao wa mambo kila kukicha. Hivi watalijuwaje hilo la mpango wa maendeleo wakati wao walisusia hotuba ya Rais ya ufunguzi wa bunge alipoeleza nia yake ya kuanzisha huu mpango?

Hiyo hotuba ya Rais ilijadiliwa bungeni kwa kina, kama wao hawajachangia hili basi leo wasipotoshe umma kwa kuwaambia hawalijui.

Hivi kama walisusia hicho kikao basi hata hawajachungulia kwenye TV? Halafu wao wanamsusia Rais hotuba yake tu? kwa nini na huu mpango wake wasiususie? Wananshangaza![/QUOTE
]

Hapa ndo utaona kweli mabogasi katika nchi hii. we dada yangu hivi ulisikia kweli kabisa Jk akiongelea mpango huu siku ya ufunguzi wa bunge hili ia Kumi. Au na wewe aliye kurogo ndo yule aliye mroga mwenzio aliye wahai kudai kuwa Jk anasakamwa kwasababu ya Uislam wake. Unatia kichefuchefu hata Mwenyezi Munga
 
Huu mpango iltangazwa kusudio la kuanzishwa kwake siku cdm walipo susa. Leo umewakilishwa bungeni. Upo hapo ulipo?
Tafadhali rejea kusoma tena; mbona kinachohojia kipo wazi! Waweza kutusaidia ni wabunge gani walishiriki kuujadili, nasi tutachanganya na za kwetu
 
Hapo ndipo huwa najiuliza umakini wa hawa wawakilishi wa cdm bungeni na upotoshaji wao wa mambo kila kukicha. Hivi watalijuwaje hilo la mpango wa maendeleo wakati wao walisusia hotuba ya Rais ya ufunguzi wa bunge alipoeleza nia yake ya kuanzisha huu mpango?

Hiyo hotuba ya Rais ilijadiliwa bungeni kwa kina, kama wao hawajachangia hili basi leo wasipotoshe umma kwa kuwaambia hawalijui.

Hivi kama walisusia hicho kikao basi hata hawajachungulia kwenye TV? Halafu wao wanamsusia Rais hotuba yake tu? kwa nini na huu mpango wake wasiususie? Wananshangaza!
Umeshaolewa binti au bado unafanya umalaya hapa mjini au wewe ni shogaa,haya mama nenda kwa NAPE ukachukue posho.
 
Hapo ndipo huwa najiuliza umakini wa hawa wawakilishi wa cdm bungeni na upotoshaji wao wa mambo kila kukicha. Hivi watalijuwaje hilo la mpango wa maendeleo wakati wao walisusia hotuba ya Rais ya ufunguzi wa bunge alipoeleza nia yake ya kuanzisha huu mpango?

Hiyo hotuba ya Rais ilijadiliwa bungeni kwa kina, kama wao hawajachangia hili basi leo wasipotoshe umma kwa kuwaambia hawalijui.

Hivi kama walisusia hicho kikao basi hata hawajachungulia kwenye TV? Halafu wao wanamsusia Rais hotuba yake tu? kwa nini na huu mpango wake wasiususie? Wananshangaza!

Hoja za hakakadubwasha zinakera lakini!! Sijui hata kanafananaje? Naona kama kamalishwa yamin kaitetee CCM mpaka kufa!
 
Hotuba safi ya upinzani,kweli nchi hii hatuna rais,hana hata tabia ya kusoma kila kitu yeye ndiyo,kweli anguko la CCM limetimia.
 
Wapi nilipoandika mpango umejadiliwa "bungeni" kwa kina? wacha kupotosha.
suala la mpango kujadiliwa na bunge ndo haswa linalohojiwa, kwani mkuu wa kaya katwanga saini yake kabla bunge halijapata wala halijawahi kuujadili, akienda kinyume na katiba ya Jamhuri ya Muungano. Nimetizama kwa miwani yangu ya mbao. Rais kama taasisi imejaa wanadam, ambao siyo wakamilifu, hivyo waweza pia kuchemka, na hatari zaidi ni pale taasisi inapojaa washikaji hakuna kukoromeana unapofanya undondocha!
 
Hapo ndipo huwa najiuliza umakini wa hawa wawakilishi wa cdm bungeni na upotoshaji wao wa mambo kila kukicha. Hivi watalijuwaje hilo la mpango wa maendeleo wakati wao walisusia hotuba ya Rais ya ufunguzi wa bunge alipoeleza nia yake ya kuanzisha huu mpango?

Hiyo hotuba ya Rais ilijadiliwa bungeni kwa kina, kama wao hawajachangia hili basi leo wasipotoshe umma kwa kuwaambia hawalijui.

Hivi kama walisusia hicho kikao basi hata hawajachungulia kwenye TV? Halafu wao wanamsusia Rais hotuba yake tu? kwa nini na huu mpango wake wasiususie? Wananshangaza!

Wewe kweli una Ugonjwa na Uvivu wa Kufikiri, umeshindwa kuelewa haya machache je yakiwa mengi utafanyaje. Utadhaji umebeba Uelewa wa JK. Acha kudanganyika CCM wezi wana Ufinyu wa kufikiri si wabunge tu bali pia mawaziri na mat´katibu wakuu wa wizara.
 
Tupo JF toka 2007 waulize wenye hikma wakueleze, usione kubadili jina ndio imekuwa mwao. Utanpata wapi mie weye? unanchekeshaa.

naona umekuwa na siku nzuri kweli kwa kubuni kitu ambacho ulijua fika watu watakujibu kwa wingi ili upoteze muda
 
Mpango wa JK ni usanii mtupu hasa kipengere cha ku-consolidate employment benefits za mtumishi wa serikali.

Ni aibu kutuletea mpango ambao hauko sambamba na hali halisi ya maisha ya kila siku ya utendaji wa kazi za serikali.Inaingia akilini kweli kutuletea mpango unaosema"serikali itaunganisha maslahi ya mfanyakazi zikiwemo posho za vikao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hapa JK hajakamilisha assignment yake, kwani utawezaji ku-consolidate kitu ambacho kinategemea occurence of an event kwa maana kwamba posho za vikao zinalipwa baada ya kikao kufanyika, ina maana kama hamna kikao hamna posho sasa hapa mnatushangaza mnaposema mtaconsolidate pamoja na posho za vikao.
Hapa ndipo anapoonekana Zitto kuwa kifaa maana uelewa wake ni mpana zaidi ya wengi wanaozungumzia posho ya vikao, ni vema tuwe wachambuzi si wazungumzaji kwani inavyoonekana wengi hawajalielewa SOMO LA SITTING ALLOWANCE.tutumie muda wetu kufikiria broader than we are now.

Kifupi sitting allowance huwezi ku-consolidate ktkt mshahara, unaweza kufanya hivyo kwa Housing allowance, transport allowance, responsibility allowance etc, BUT STRICLTY NOT SITTING ALLOWANCE


Hongera Zitto, you gonna fly guy with your party CDM
 
Back
Top Bottom