aaaaa kaka madem wembamba mmh jau bhana ww ka dem unakua nako mkitembea unaonwkana una kazulumu chakula..unakuta kana kikono chembamba ka mwiko. ani unakuta kigimbi na tako vinauwiano aa weee wemabamba wengine sioo[emoji24]
kaakaa mkubwa ujue kila mtu ana haki ya kutafuta madaraka ujue uyo inafaaa ang'olewe aingie mwingine wenda anae ingia atafanya mazur zaid....so ukisema aongezeee unawanyima chance wengine !
kaakaaaaa uyo mteme uyooo hamna kazi kama angekupenda asinge gawa tunda ilo kwa mwinginee.....kaaka mteme kashamegwa uyooo wanawake wapo kibaoo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.