Ntikwite
Member
- May 13, 2017
- 93
- 52
Habari zenu wanaJF wenzangu, naomba msaada wa kimawazo mimi ni kijana mwaka 2015 nliingia kwenye mahusiano na binti ambaye kwa baadaye nilikuja kugundua kuwa ni ndugu yangu kiukoo yaani baba yake namuita baba yaani tulishare babu zetu wazaa baba.
Baada ya huo mwaka mimi nilienda mikoani kwenda kutafta maisha nikakaa huko hadi 2017 ndio nikarudi home baada ya hapo ndiyo nikawa nimempachika mimba na baada ya mwezi mmoja ndiyo nikagundua kuwa ni ndugu yangu, na nilichogundua tena kumbe yeye alikuwa anaujua undugu wetu lakini hakuniambia kabla.
Na baada ya kupata hiyo mimba aliniambia yeye atalea hiyo mimba na hatawaambia nyumbani kwao kuwa ile mimba ni yangu kwa sababu sisi ni ndugu japo kuna muda wanambana sana amtaje baba wa mtoto ila anaogopa.
Na namshukuru Mungu alimjaalia akajifungua japo kwa kisu mtoto wa kiume mpaka sasa ana mwaka na miezi mitatu.
Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu.
Baada ya huo mwaka mimi nilienda mikoani kwenda kutafta maisha nikakaa huko hadi 2017 ndio nikarudi home baada ya hapo ndiyo nikawa nimempachika mimba na baada ya mwezi mmoja ndiyo nikagundua kuwa ni ndugu yangu, na nilichogundua tena kumbe yeye alikuwa anaujua undugu wetu lakini hakuniambia kabla.
Na baada ya kupata hiyo mimba aliniambia yeye atalea hiyo mimba na hatawaambia nyumbani kwao kuwa ile mimba ni yangu kwa sababu sisi ni ndugu japo kuna muda wanambana sana amtaje baba wa mtoto ila anaogopa.
Na namshukuru Mungu alimjaalia akajifungua japo kwa kisu mtoto wa kiume mpaka sasa ana mwaka na miezi mitatu.
Naombeni msaada wa mawazo ndugu zangu.