Recent content by vidmate

  1. vidmate

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ushindi wao ni draw si zaidi ya hapo
  2. vidmate

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Sina ndugu yyt aliyeumia ktk maandamano yaliyopita ila kwa kutazama maumivu waliyopitia watz wenzangu maandamano hata watoke wachache nitaungana nao kudai kumtoa mkoloni mweusi bila kushawishiwa na mtu yyt
  3. vidmate

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Merino kuanza badala ya rice arteta kazingua sana
  4. vidmate

    JamiiForums Tanzania GE2010 Rostam Aziz anavyochezea akili za Watanzania

    Sasa ni miaka 15 tokea huu Uzi uandikwe na bado mpaka leo ni mtu yule yule, duh!
  5. vidmate

    JamiiForums Tanzania Mtaje Mnyama au Mdudu unayemuogopa

    Niliona Jose mla vichwa anayala huko YouTube lakn Ile video yake sikuweza kuitazama kbs kbs yaan Nadhani tukubali kuna vitu vingine si kwa ajili ya kila mtu vingine vya wachache hao wadudu kipindi cha mvua kwangu nazungishia chumvi no entry kbs
  6. vidmate

    JamiiForums Tanzania Mtaje Mnyama au Mdudu unayemuogopa

    Simuogopi ila sipendi hata kumuona huyu ni konokono nahisi kinyaa sana ikitokea nimemgusa bahati mbaya
  7. vidmate

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna watu watasema tumebebwa 🤣 🤣 🤣 🤣
  8. vidmate

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Hatimaye 60m imekupa utajiri
  9. vidmate

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Bado naamini arsenal atapindua meza
  10. vidmate

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Skell baadae anaweza kuwa mido mzuri sana
  11. vidmate

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii clip ime trend Kenya. Watu wanajua kupendana

    Hata sisi tulikuwa hivyo....
  12. vidmate

    JamiiForums Tanzania Nani anatengeneza faida kubwa kati ya mzalishaji wa bidhaa na mtu wa kati?

    Hilo swali halina majibu ya moja kwa moja kuna factors nyingi sana zinazoweza kufanya majibu yote kuwa Sawa ama kutokuwa sawa kutegemeana na aina ya bidhaa, aina ya soko, monopoly power ect
  13. vidmate

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbeya: Tulia Ackson akusanya waandishi wa habari ili kutoa msaada wa tani mbili za chakula kwa wasiojiweza

    Tani mbili ni gunia 20 za mchele zenye kg 100 kila gunia
  14. vidmate

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Jamaa wamezingua sana, game wametuwekea bayer 04
Back
Top Bottom