The silent smile
Senior Member
- Jul 17, 2025
- 124
- 206
- Thread starter
- #101
Popo bana kuna mahala nlifikaga alitusaidia sana maana palikuwa pana mbu balaa na hatuna neti, na madirisha yapo wazi (hakuna finishing), ebana yule popo alikuwa anasubiri tuumwe na mbuu then anakuja anazururazurura tuu mule anatoka zake, nkamuuliza mwenzangu huyu popo vipi katumwa nini, akaniambia anakuja kula mbu. Na ni kweli, alikuwa akija akipiga round zake kadhaa mule akitoka husikii mbu hta mmoja, had baada ya muda wakiingia tena. Popo naskia anakula mbu kama hana akili😄Kuna huyu kiumbe anaitwa popo sijui ni ndege wa wapi huyu ananyonyesha, anatisha kinoma