Mtoa uzi huu tubu kwa Mungu ,hujafa hujaumbika ,
Unasema mwenzako mgonjwa,watu wanatangulia wanamwacha wanayemwita mgonjwa
Nakwambia tubu maana Mungu anajibu kwa moto.
Kumbuka sala ya sheikh pale Jangwani UKAWA walipozindua kampeni!
Mod futa huu uzi.
naona kauli za kikabila,mtu amkatae mhombe eti kisa ni mmasai na si mmeru.
Ewe mtanzania unayeendekeza ukabila,hii dhambi itatafun mpak kizazi chako cha nne!
Hivi hizo ardhi mnazosema ana hodhi,umeomba wewe ukanyimwa?
Sheria ya ardhi inaruhusu mpaka ekari 1000,sasa wivu wa...
Waandaaji wao ndio waanzisha wa ukanda.
mfano Miss Tanzania kanda ya Kati,Nyanda za juu kusini,miss kanda ya kaskazini,alafu akingia fainali unataka abadilishwe jina.?
Nssf makao makuu kanda ya kaskazini,BOT kanda ya kaskazini,etc !
Utabiri wa haki ya hewa utaskia mvua itanyesha kanda ya...
Mwaj si wewe peke yako.
Mimi atayerudisha ,atayeahifi kurudisha atapata kura z watanzania wengi sana ambao mpaka sasa hawajui wampigiani kura.
Hii dhambi y uuzaji ni zaidi ya KADHFA YA RADA,EPA NA ESCROE.
Kama Mungu aishivyo ,so long as viwanja haviamishiki kwenda nje n mabenki ya...
Zile Bajaj- Gari ni.khero mnoo,yani kama Jenereta la Mreno.
Huku posta zikipit kila mtu anaziba maskio.
Zile ni uchafu.kuliko uliopo dampo la Pugu.
Note:-
.bhakhresa hajabagua mtu,kila kazi ina watu wa asili flani,mbona ukienda kwenye mabucha unakuta watu toka pande flani za nchi,Jeshi nalo...
Yesu alifufuka siku ya 3.
Wakristo wanasamehe.
Biblia inasema "kisasi ki juu ya Mungu"
Yule mzungu wa Marekani kaua Walokole 9,na Walokole ealoponea na ndugu za marehemu wamemsehe bure,huo ndo ukristo
Wewe uliambiwa uchumba mwisho miaka mingapi?
Upadre aliacha na sasa yupo huru!
Wewe una hakika gani kama baba uliyenaye hajabambikiziwa mimba na mama yako,ambapo kihalisi ilikuwa ya mzee mmoja mlinzi wenu,ana miaka 82!
Tumia akili !
Kiongozi mkuu anaomba,wananchi wake je?
Tulinganishe na nchi gani unataka wewe?
Hata somalia hawaombi kama sisi,hii ni dalili ya watanzania kuwa ni wakoma japo wanaonekana na viungo
Zitto katumiwa na ccm kuanzisha ATC,kwahiyo anarudi kwenye chama chake.
Kikwete ndo mhusika mkuu na Jack zoka kwa kumpa mpango wa kuuwa chama na akina kitila na wenziwe
Kwakweli rasmmi nahama Voda,
Shame on them,
Airtel twaja huko wazalendo wa kweli,mtandao wa watanzania.
Voda wanamksanyia mtu hela y kupigia kampeni uraisi this year.
Hata ofisini nawaambia all mates wabadili laini zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.