Recent content by victorserv

  1. V

    Lowassa asababisha timua timua ITV

    Mtoa uzi huu tubu kwa Mungu ,hujafa hujaumbika , Unasema mwenzako mgonjwa,watu wanatangulia wanamwacha wanayemwita mgonjwa Nakwambia tubu maana Mungu anajibu kwa moto. Kumbuka sala ya sheikh pale Jangwani UKAWA walipozindua kampeni!
  2. V

    Unajua E.Lowassa sio Mmasai, ni Mmeru aliyeasi kabila, Arumeru mkataeni ila hela kuleni

    Mod futa huu uzi. naona kauli za kikabila,mtu amkatae mhombe eti kisa ni mmasai na si mmeru. Ewe mtanzania unayeendekeza ukabila,hii dhambi itatafun mpak kizazi chako cha nne! Hivi hizo ardhi mnazosema ana hodhi,umeomba wewe ukanyimwa? Sheria ya ardhi inaruhusu mpaka ekari 1000,sasa wivu wa...
  3. V

    Mgombea ubunge wa UKAWA jimbo la Muheza afanya kufuru

    Majina wagombea wa UKAWA na Majimbo ya TANGA. please mtu aweke
  4. V

    Dhana ya Ukanda na madhara yake kwa Tanzania yetu, Kanda ya Kaskazini kuna nini?

    Waandaaji wao ndio waanzisha wa ukanda. mfano Miss Tanzania kanda ya Kati,Nyanda za juu kusini,miss kanda ya kaskazini,alafu akingia fainali unataka abadilishwe jina.? Nssf makao makuu kanda ya kaskazini,BOT kanda ya kaskazini,etc ! Utabiri wa haki ya hewa utaskia mvua itanyesha kanda ya...
  5. V

    Serikali yafanya kufuru, Yatumia milioni 50/- kumlipia Waziri Hoteli

    Mwaj si wewe peke yako. Mimi atayerudisha ,atayeahifi kurudisha atapata kura z watanzania wengi sana ambao mpaka sasa hawajui wampigiani kura. Hii dhambi y uuzaji ni zaidi ya KADHFA YA RADA,EPA NA ESCROE. Kama Mungu aishivyo ,so long as viwanja haviamishiki kwenda nje n mabenki ya...
  6. V

    Bajaj za MO ni kizaazaa

    Zile Bajaj- Gari ni.khero mnoo,yani kama Jenereta la Mreno. Huku posta zikipit kila mtu anaziba maskio. Zile ni uchafu.kuliko uliopo dampo la Pugu. Note:- .bhakhresa hajabagua mtu,kila kazi ina watu wa asili flani,mbona ukienda kwenye mabucha unakuta watu toka pande flani za nchi,Jeshi nalo...
  7. V

    Kwa aliyepigiwa simu na Advans Bank msaada please

    makao makuu yapo SHIMO LA TEWA pale
  8. V

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Yesu alifufuka siku ya 3. Wakristo wanasamehe. Biblia inasema "kisasi ki juu ya Mungu" Yule mzungu wa Marekani kaua Walokole 9,na Walokole ealoponea na ndugu za marehemu wamemsehe bure,huo ndo ukristo
  9. V

    Pata nyumba na viwanja jijini Arusha

    Mnauza bei ghali kuliko hali halisi ya soko. Jifunzeni biashara ya mali nzuri kwa bei nzuri
  10. V

    Limbu: Jaji Mutungi 'amenunuliwa' na Zitto

    Wewe uliambiwa uchumba mwisho miaka mingapi? Upadre aliacha na sasa yupo huru! Wewe una hakika gani kama baba uliyenaye hajabambikiziwa mimba na mama yako,ambapo kihalisi ilikuwa ya mzee mmoja mlinzi wenu,ana miaka 82! Tumia akili !
  11. V

    Hivi mbona Tanzania kuna ombaomba sana

    Kiongozi mkuu anaomba,wananchi wake je? Tulinganishe na nchi gani unataka wewe? Hata somalia hawaombi kama sisi,hii ni dalili ya watanzania kuwa ni wakoma japo wanaonekana na viungo
  12. V

    Shule gani nzuri kwa A level girls

    Internationa school of Moshi,st. Patric Arusha ,Faraja seminary Moshi© Pia Al-Haramia dul Madinah Hijab Islamic, Sheikh Masoud Islamic Seminary, Kinondoni Muslim,Kirinjiko . Kama dola zipo Aende Havard High school.ipo hapa Ney York. Pia St.Israel hapa Washington
  13. V

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Zitto katumiwa na ccm kuanzisha ATC,kwahiyo anarudi kwenye chama chake. Kikwete ndo mhusika mkuu na Jack zoka kwa kumpa mpango wa kuuwa chama na akina kitila na wenziwe
  14. V

    Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

    Kwakweli rasmmi nahama Voda, Shame on them, Airtel twaja huko wazalendo wa kweli,mtandao wa watanzania. Voda wanamksanyia mtu hela y kupigia kampeni uraisi this year. Hata ofisini nawaambia all mates wabadili laini zao
Back
Top Bottom